• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

AFISA MAENDELEO YA JAMII WILAYA NDUGU GRACE MGHASE AMEFIKA NA KUZUNGUMZA NA WANAFUNZI WA KIKE KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LEKULE WILAYANI LONGIDO .

Posted on: March 7th, 2024

"KUSOMA KWA BIDII, KUJIAMINI KUJITAMBUA NDIO SILAHA KUBWA YA MAFANIKIO KWA MTOTO WA KIKE."Ni maneno yake Afisa maendeleo ya Jamii Wilaya Ndugu Grace Mghase alipofika kutembelea na kuzungumza na watoto wa kike katika shule ya Sekondari ya Lekule kata ya Gelai Lumbwa Wilayani Longido.

Katika kusherehekea siku ya wanawake Dunia Ndugu Grace Mghase  amewaasa watoto hao wakike Kuweka bidii kwenye masomo yao ili kufikia malengo yao ya maisha ya sasa na badae. Sambamba na hilo amewataka watoto hao kuacha tabia ya usiri na kuwa wazi kueleza changamoto zinazojitokeza na kuwakwamisha kutokufika ndoto zao kwa urahisi, "Watoto wazuri tumieni vema sanduku la maoni kueleza changamoto zenu zote zinazowakibili, maoni hayo yatasomwa na kufanyiwa Kazi Kwa haraka sana "Alisema Ndugu Grace.

Vile vile Afisa maendeleo ya jamii huyo pamoja na maafisa wengine wanawake waliofika shuleni hapo wametoa zawadi mbali mbali ikiwepo taulo za kike kwa wanafunzi hao ili ziwasaidie kujistiri, Sambamba na kuwafundisha matumizi bora na sahihi ya kutumia taulo hizo za kike pamoja na usafi.

Akishukuru kwa niaba ya wanafunzi wengine wa shule hiyo ya wasichana Lekule Mwanafunzi  Anna Lukas wa kidato cha tatu amewashukuru sana wageni hao kwa kuona Kuna sababu ya Kuja kutembelea na kuzungumza na watoto wa kike, mwanafunzi huyo ameongeza kwa kusema kwamba elimu iliyotolewa ni nzuri na ina tija kwa Afya na ustawi wa maendeleo yao hivyo kuahidi kufanyia Kazi na kutopuuza yale yote walaofundishwa kwa faida ya maisha yao ya sasa na badae.



LONGIDO TUNATEKELEZA KWA VITENDO#


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.