• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

BARAZA LA WAJUMBE LAHITIMISHA MAWASILISHO YA TAARIFA ZA ROBO YA NNE

Posted on: May 3rd, 2019

Wajumbe wa Baraza la madiwani wa halmashauri ya Longido wamefanya mkutano wa kuwasilisha taarifa za kata za robo ya nne za kuanzia mwezi Aprili mpaka Julai 2019, Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo ( Ukumbi wa Nyerere).

Mkutano huo umehudhuriwa na madiwani,Wakuu wa idara na vitengo na wadau mbalimbali kutoka halmashauri ya wilaya ya Longido.

Taarifa hizo ziliwazilishwa katika nyanja mbalimbali za elimu, maji,afya,kilimo,mifugo na uvuvi maendeleo ya jamii na miundombinu.

Pia madiwani hao waliweza kuwasilisha taarifa hizo wakiwa wameeleza mafanikio na changamoto wanazokumbana nazo katika nyanja za elimu, kilimo, ufugaji, utekelezaji wa miradi ya maendeleo , utunzaji wa mazingira ,kiuchumi, afya pamoja na miundombinu inayozidi kuharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha hasa katika kata ya Namanga.

Hata hivyo baadhi ya changamoto zilizo bainishwa ni pamoja na utoro wanafunzi mimba, upungufu wa madarasa ,nyumba za watumishi, mabweni, maabara, uhaba wa malisho, usafiri ,miundo mbinu za barabara, maji safi na salama, madawati,vitendea kazi kwenye ofisi za umma.

Vilevile mwakilishi wa Mkuu wa wilaya ambaye ni afisa Ndug. Toba Nguvila kwa niaba ya mkuu wilaya amesema tayari serikali imekwisha tenga bajeti ya Billion 1.5 kwaajili ya ujenzi wa Chuo cha veta, na pia wako katika mchakato wa kupata maeneo ya ujenzi wa Gereza ndani ya wilaya ya Longido Miradi ambayo itasaidia kusogeza huduma za kimaendeleo kama Maji, umeme, miundombinu mizuri n.k, lakini pia kusogeza huduma karibu za mafunzo ya Veta.

Mwenyekiti wa kikao Mhe. Sabore Molloimet wakati anafunga mkutano wa baraza alisema anaomba halmashauri kufanyia kazi changamoto zilizowasilishwa na waheshimiwa madiwani wakati wanawasilisha taarifa zao na kuwasihi watumishi wote kuendelea kuziunga mkono jitihada za serikali ili washirikiane kuibadilisha Longido kwa maendeleo.

Aidha Mhe. Molloimet amewasii wajumbe kuwajibika ikiwa pamoja na kutoa taarifa kwa wananchi wao maana taratibu hizo zipo kisheria na kuwataka kusimamia kwa makini fedha zinazotolewa na serikali kwa kuzielekeza sehemu husika na kuhakikisha haipotei hata senti jambo ambalo litajenga uhaminifu kwa serikali na wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.