• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Bodi ya Afya yamaliza muda wake wa kuhudumu

Posted on: March 31st, 2017

Wilaya ya Longido imepatiwa kiasi cha tani 40 za mbolea ya kupandia, tani 40 za mbolea ya kukuzi na tani 8 za mbegu za mahindi kwa ajili ya wakulima 800 katika mfumo wa pembejeo zenye ruzuku ya serikali katika msimu wa kilimo wa 2016/2017. Aidha, kikao cha Kamati ya Pembejeo ya Wilaya kilichoketi tarehe 16/01/ 2017 kilipitisha mgawo na kupanga bei elekezi za kuuza pembejeo hizo  katika vituo  ambavyo ni makao makuu ya kila Kata ambazo zitapatiwa pembejeo. Sambamba na hilo nawatambulisha kwako Mawakala Wiana Agrovet na Atau Agrovet ambao watahusika za usambazaji wa pembejeo katika Wilaya ya Longido kwa msimu wa kilimo wa 2016/2017. Mkuu wa Wilaya ya Longido Mhe Daniel Chongolo leo alikuwa mgeni rasmi katika Kikao Maalum cha kuvunja Bodi ya Afya ya Wilaya ya Longido ambayo imemaliza muda wake kwa mujibu wa Sheria baada ya kuhudumu kwa mika mitatu. Bodi hiyo iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Ndg Isack Ndekero iliundwa tarehe 18/04/2013 ikiwa na Wajumbe 11.

Mhe Chongolo akivunja Bodi hiyo aliipongeza kwa kuwa mstari wa mbele kupigania upatikanaji wa Huduma bora za Afya ndani ya Wilaya licha ya changamoto nyingi zilizopo ikiwemo changamoto za kimazingira, ukosefu wa vitendea kazi, upungufu wa watumishi wa Sekta ya Afya na ukosefu wa fedha kutosheleza mahitaji mbalimbali katika Sekta hiyo. Pamoja na hayo Bodi hiyo inajivunia mafanikio kadhaa ikiwemo kufanikiwa kuhamasisha Jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii(CHF) ambapo wanachama waliongezeka kutoka 16% na kufikia 34% sawa ma Wanachama 8,412. Bodi pia ilihimiza Ujenzi wa Jengo la X-Ray katika Kituo cha Afya cha Longido ambao unaendelea, kupatikana kwa Huduma za Upasuaji katika Kituo cha Afya Longido na Enduimet, kuwa na mgawanyo mzuri wa Watumishi wa Sekta ya Afya katika Vituo vya Huduma, na Vituo vyote 26 vya kutoa Huduma za Afya kufungua Akaunti za Benki. Aidha Bodi iliweza kuhamasisha Wanawake kujifungulia kwenye Vituo vya Afya badala ya Wakunga wa Jadi, ufuatiliaji wa upatikanaji wa Madawa, na kufuatilia fedha za tele kwa tele ambapo mwezi Machi 2017 Halmashauri imepokea Tshs 33,985,000.

Mwenyekiti wa Bodi akizungumzia utendaji kazi wa Bodi hiyo alisema ilikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa fedha pale ilipohitaji kufanya ziara mbalimbali ndani ya Wilaya, malalamiko ya Wananchi kuhusiana na ukosefu wa Dawa katika Vituo vya huduma za Afya, Watumishi kukaa kwenye kituo kimoja kwa muda mrefu, na upungufu wa watumishi wa Sekta ya Afya.

Tangazo la nafasi za Wajumbe wa Bodi ya Afya litatolewa hivi karibuni.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.