• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

DC KALLI AANZA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, AHIMIZA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: January 7th, 2026

NA ABRAHAM NTAMBARA

Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mhe. Salum Kalli, leo Januari 7, 2026 ameanza ziara ya kata kwa kata yenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi wilayani humo, ambapo ameanzia katika Kijiji cha Eworendeke, Kata ya Kimokouwa.

Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho, Mhe. Kalli amesema kuwa lengo la ziara hiyo ni kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua ili kuchochea ustawi wa maendeleo katika maeneo yao.

“Tumekuja kusikiliza kero zenu na kuzitatua. Lengo ni kuona namna mtakavyopata ustawi wa maendeleo katika maeneo yenu. Huu ni mwendelezo wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba sisi, wasaidizi wake, tutoke maofisini na kuja kuwasikiliza wananchi,” amesema Mhe. Kalli.

Mhe. Kalli ameeleza kuwa atafanya ziara katika kata zote 20 za Halmashauri ya Wilaya ya Longido kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Aidha, katika ziara hiyo, DC Kalli amewahimiza wananchi wa Wilaya ya Longido kuchangamkia fursa ya Bima ya Afya kwa Wote kwa kuhakikisha wanajiunga na bima hiyo itakayowawezesha kupata huduma za afya kwa urahisi mahali popote nchini.

Ikumbukwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kampeni aliahidi kuhakikisha kuwa ifikapo siku 100 tangu kuanza kwa awamu ya pili ya uongozi wake, kuanzia Novemba 3, 2025 alipoapishwa, kila Mtanzania anakuwa na Bima ya Afya.

Katika mwendelezo wa ziara hiyo, kesho Januari 8, 2026, Mhe. Kalli anatarajiwa kuendelea na ziara yake katika Kata ya Sinonik.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • TFFT YATAMBULISHA MRADI WA KUIMARISHA ELIMU YA MSINGI WILAYANI LONGIDO

    January 23, 2026
  • TAKUKURU LONGIDO YATOA ELIMU YA MAADILI KWA WALIMU WAKUU

    January 23, 2026
  • LONGIDO YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UFAULU NA KUBORESHA ELIMU MWAKA 2026

    January 23, 2026
  • DC LONGIDO AKABIDHI MADAWATI 40 SHULE YA MSINGI KITARINI, APONGEZA USHIRIKIANO WA WANANCHI

    January 22, 2026
  • View All

Video

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 29 0KTOBA 2025
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200