• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

Posted on: May 14th, 2025


Na Hapiness Nselu 


MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Bw. Nassoro Shemzigwa, amefungua mafunzo ya siku moja kwa ajili ya waandishi wasaidizi na waendeshaji wa mashine za BVR, yatakayofanyika katika kata zote 18 za wilaya hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya awamu ya pili ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura.


Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Julius Kambarage Nyerere uliopo makao makuu ya halmashauri hiyo, Bw. Shemzigwa aliwapongeza washiriki kwa kuaminiwa na kuteuliwa tena kushiriki katika utekelezaji wa jukumu hilo muhimu la kitaifa.


Zoezi la uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura linatarajiwa kuanza rasmi Mei 16 hadi 22, 2025, katika kata zote 18 za Wilaya ya Longido.


“Mnatakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu, kutunza vifaa mlivyopewa, kuepuka vitendo vya uzembe au visivyofaa vinavyoweza kuhatarisha mchakato huu muhimu. Fanyeni kazi kwa weredi kwa kuzingatia sheria na kanuni za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,” alisisitiza Mkurugenzi.


Amesema lengo ni kuhakikisha kila mwananchi mwenye sifa anapata haki yake ya msingi ya kupiga kura na kuchagua viongozi anaowataka katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Serikali Kuu.


Kwa upande wake, Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Longido, Bw. Nevviling Lymo, alisema ofisi yake itahakikisha inasimamia kwa karibu utekelezaji wa zoezi hilo ili lifanikishwe kwa viwango vya juu na kwa wakati uliopangwa.


“Ni wajibu wa kila afisa mwandikishaji kuhakikisha taarifa zote muhimu zinawasilishwa kwa wakati na mahali sahihi, na kushirikiana kikamilifu na watendaji walioko vituoni ili kufanikisha kazi hii,” alisema Bw. Lymo.


Akizungumza kwa niaba ya washiriki wa mafunzo, *Mwenyekiti wa Mafunzo, Bw. Ernest Lotakajack , alisema wako tayari kuhakikisha zoezi linafanyika kwa ufanisi mkubwa na kuleta matokeo chanya katika jimbo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.