• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

HALMASHAURI YAWEKA MIKAKATI KUKABILIANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA KWA WANAWAKE NA WATOTO

Posted on: March 14th, 2019

Halmashauri  ya wilaya ya longido leo tarehe 14.03.2019 wamefanya kikao katika ukumbi wa Halmashauri na kuweka  mikakati ya kuhakikisha unyanyasaji wa wanawake na watoto wadogo unakomeshwa. Unyasaji  huo ni pamoja na ubakaji,ulawiti kwa watoto wadogo hasa maeneo ya Namanga ,mimba mashuleni kwa watoto wa kike ,ukeketaji hasa kwa watoto wa kike,ndoa za utotoni  ,unyasaji wa kisaikolojia,uhuru wa kushiriki kutoa mawazo pamoja na ukwepaji wa majukukumu,washiriki wa mikakati hiyo ni wakuu wa idara ya afya ,ustawi  wa jamii,maendele ya jamii,jeshi la polisi ,wanasheria ,watendaji wa vijiji kadhaa pamoja wenyeviti wa vijiji,katika semina hiyo imeelezwa kwamba kuna changamoto nyingi sana katika utokomezaji wa ukatili wa kijinsia hasa ya mimba mashuleni ,ukeketaji,ulawiti na ubakaji,changamoto hizo ni :-  

1.kutokuwepo kwa ushirikiano wa kutosha kati ya mwathirika wa tukio na vyombo vya dola 

2.wazazi kutotoa ushirikiano wa kutosha katika swala zima la unyanysaji wa watoto 

3.uwepo wa mrundika wa kabila moja kwenye uongozi kuanzia ngazi ya kata hadi vitongoji,hii inafanya wao wenyewe kuelewana wao kwa wao bila kumfikisha mtuhumiwa kwenye vyombo vya dola.

4.Ukosefu wa elimu katika jamii hasa kuhusu swala la ukeketaji ,jamii hii ya kimasai hawajui kabisa madhara ya ukeketaji kwa watoto wa kike.

Kutokana vitendo hii viovu ambayo waathirika wengi ni watoto wa kike na watoto wadogo serikali imejipanga kuhakikisha wanaeneza elimu ya nyumba kwa nyumba pamoja na hatua kali za kisheria zina chukuliuwa kwa mtu yeyote atakaebainika kuhusika na ukatili huu wa kijinsia.Pili kuhakikisha kwamba nguvu kazi (task force)katika jamii pamoja na kuwepo kwa wataalam mbalimbali katika jamii ili kuhakikisha mambo haya maovu yanatokomezwa,tatu jamii itambue kwamba unyanyasaji wa kijinsia hasa kwa watoto husababisha madhara mengi kwa watoto ikiwemo mtoto kukosa kujiamini,kuwa na msongo wa mawazo pamoja na maambuziki ya magonjwa mbalimbali hasa UKIMWI.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.