• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
    • Utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

Posted on: August 22nd, 2025

Kamati za MTAKUWWA (Mpango wa Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia kwa Wanawake na Watoto) katika ngazi ya kata zimeimarishwa kupitia mafunzo maalum yaliyofanyika Namanga, yakilenga kuongeza uelewa na uwezo wa kutekeleza majukumu yao katika kupambana na ukatili wa kijinsia.


Mafunzo hayo yalikutanisha wajumbe wa kamati, viongozi wa dini, viongozi wa kijamii pamoja na wadau wa maendeleo, ambapo washiriki walipata ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia na kushughulikia matukio ya ukatili wa kijinsia, huku wakisisitizwa kushirikiana kwa karibu na vyombo husika.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Afisa Maendeleo ya Jamii wilayani Longido, Bi. Monica R. Wambura, alisema kuimarishwa kwa kamati za MTAKUWWA ni hatua muhimu ya kuhakikisha jamii inalindwa na vitendo vya ukatili.

“Kamati hizi ndizo silaha muhimu katika mapambano ya ukatili wa kijinsia. Kupitia mafunzo haya, zinapata uelewa wa sheria, haki za binadamu na mbinu za kuchukua hatua stahiki kwa haraka,” alisema Bi. Wambura.

Miongoni mwa mada zilizotolewa ni pamoja na chanzo cha ukatili wa kijinsia, wajibu wa jamii katika kulinda haki za wanawake na watoto, mbinu za kuripoti na kufuatilia matukio ya ukatili, pamoja na mikakati ya kijamii ya kuzuia vitendo hivyo.


Washiriki walieleza kuwa elimu hiyo imewaongezea ujasiri na maarifa ya kushirikiana na mamlaka husika ili kuhakikisha matukio ya ukatili yanatolewa taarifa mapema na hatua madhubuti kuchukuliwa.

Mafunzo haya yamewezeshwa na WASHEWILO kwa kushirikiana na Legal Services Facility (LSF) na Enabel, yakilenga kuimarisha jitihada za kijamii na kitaasisi katika kulinda haki na hadhi ya makundi yaliyo hatarini.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.