• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE ALIDHISHWA NA MIRADI ALIYOZINDUA WILAYANI LONGIDO.

Posted on: September 16th, 2018

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa 2018 Ndg. Charles.F.Kabeho alitembelea miradi sita ya maendeleo tarehe 15/09/2018 . Baadhi ya miradi imewekwa jiwe la msingi, kufunguliwa , kutembelewa na kuzinduliwa.Miradi hiyo kwa ujumla imegharimu serikali takriban Tsh. 2,892,288,316.00.

Miradi hiyo iliyozinduliwa na kuwekewa jiwe la Msingi na kutembelewa ipo katika sekta mbalimbali za utawala bora,Elimu,Afya,Maendeleo ya jamii,Kilimo na Maji.

Ndg .kabeho aliweka jiwe  la msingi katika ofisi ya kijiji ya Noondoto ujenzi uliogharimu kiasi cha Tsh.47,000,000/-.

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa pia amezindua madarasa matatu katika shule ya msingi kitumbeine ujenzi uliogharimu kiasi cha Tsh.53,450,000/-

Vile vile kiongozi wa mbio za mwenge  ameweka jiwe la msingi katika kituo cha afya Ketumbeine, mradi uliogharimia Tsh. 600,000,000/-

Ndg.Kabeho pia amezindua mradi wa maji kijiji cha mairowa wenye thamani ya Tsh.1,903,998,800.

Hata hivyo  Kabeho ameendelea kuifurahia miradi ya Longido na kuitolea mfano hata wakati wa kukabidhi mwenge huo kwa halmashauri ya Arusha.

Amesema nimeona ujenzi wa madarasa matatu yenye viwango yamejengwa kwa gharama ndogo ya milioni 53,000,000/- na mazingira yake ni magumu hata kusafirisha vifaa ,sasa nakuja huko nikiwa na picha ya Longido katika kutekeleza miradi ya maendeleo alimaliza ndg.Kabehe.

Ndg. Charles pia alitoa ujumbe wa mwenge uliosisitiza, wananchi katika sekta ya elimu kuendelea kutekeleza majukumu yao ya msingi kwa watoto wao. Serikali imeondoa michango na ada kwa shule za msingi na sekondari mpaka kidato cha nne. Wazazi wanapaswa kuwapa wanafunzi, sare za shule, madaftari, kalamu viatu na kuwapatia chakula wanapokuwa shuleni. 

Ndg. Kabeho amesema serikali inaendelea na mapambano dhidi ya ukimwi, imeendelea kusisitiza watu kujua afya zao. Mpango wa sasa ni kuomba wanaume kujitokeza kupima na kupata ushauri nasaha, wanaume wamekuwa wagumu mno kujitokeza kupima.

Ndg. Kabeho amesema serikali inaendelea na mapambano dhidi ya rushwa, rushwa ni adui wa  haki  ni vizuri kutoa taarifa kwa vyombo husika au kutumia namba 113 ambayo ni bure kwa mitandao yote. Ndg. Kabeho amesema serikali inaendelea na mapambano dhidi  ya malaria serikali inatoa vyandarua kwa kinamama wajawazito. Nivyema kujua matumizi sahihi ya vyandarua hivi.  

Ndg kabeho amesema serikali inaendelea na mapambano dhidi ya dawa za kulevya, ni vizuri wananchi wakaacha matumizi mabaya ya dawa za kulevya kwa sababu yanaongeza vitendo vya uhalifu na kurudisha maendeleo nyuma

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM