• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

Posted on: July 11th, 2025

Na Happiness Nselu 

Halmashauri ya Wilaya ya Longido imepokea tuzo ya pongezi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI baada ya kufanikisha lengo la ufaulu lililowekwa kwenye Key Performance Indicator (KPI) katika Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili kwa mwaka 2024.

Tuzo hiyo ilikabidhiwa kwa mara ya kwanza wakati wa mkutano wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri uliofanyika katika Manispaa ya Iringa, ambapo Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI – Elimu, Ndg. Atupele W. Mwambene, aliipongeza Halmashauri ya Longido kwa mafanikio hayo ya kitaaluma.

Akizungumza katika kikao hicho, Ndg. Mwambene alisema kuwa Longido imeonyesha mfano wa kuigwa katika kusimamia taaluma, kuwajengea walimu mazingira bora ya kufundisha na kushirikisha jamii katika maendeleo ya elimu.

“Tumeona matokeo ya juhudi zenu. Longido ni miongoni mwa halmashauri zilizofikia viwango vya ufaulu tulivyovitarajia. Hili ni jambo la kujivunia,” alisema.

Mara baada ya kuwasili Longido, tuzo hiyo imekabidhiwa rasmi leo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Bw. Nassoro Shemzigwa, ambaye alipokea kwa niaba ya timu nzima ya elimu ya halmashauri hiyo.

Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo, Bw. Shemzigwa ameishukuru TAMISEMI kwa kutambua juhudi za halmashauri yake, na kusema kuwa mafanikio hayo ni matokeo ya mshikamano, nidhamu ya kazi na usimamizi mzuri wa walimu pamoja na viongozi wa elimu katika ngazi zote.

“Tuzo hii ni motisha kubwa kwetu. Itaendelea kutusukuma kufanya vizuri zaidi, si tu kwa Kidato cha Pili, bali katika nyanja zote za elimu,” alisema Shemzigwa.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka TAMISEMI, Longido imepanda kwa kasi katika viwango vya ufaulu ikilinganishwa na miaka ya nyuma, jambo linaloashiria ufanisi wa mikakati ya kuinua kiwango cha elimu vijijini.

Hii ni mara ya kwanza kwa Halmashauri ya Wilaya ya Longido kutunukiwa tuzo ya aina hiyo, hatua inayoweka historia mpya na kuongeza hamasa kwa wadau wa elimu wilayani humo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.