• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Longido yapata muarobaini wa urasimishaji ardhi

Posted on: November 24th, 2017

Kwa kutambua  umuhimu na thamanj ya Ardhi  Halmashauri ya wilaya ya Longido mkoani Arusha  imeanzisha mpango  shirikishi  wa urasimishaji  na  kampuni ya  iliyosajiliwa na Wizara ya Ardhi  nyumba na Maendeleo ya makazi  ya Geoid Geomatics Consultants Enterprises.


Idara ya Ardhi  imepanga  kufanya zoezi  hilo la urasimishaji wa makazi holela kwa maeneo ya Namanga na Longido  ikishirikiana na Kampuni  hiyo  kutokana na ufinyu wa bajeti hususani mapato ya ndani.


Afisa Ardhi  Bi.Letara  ameeleza kuwa  pamoja na kwamba  mkataba huo wa Halmashauri na kampuni husika haujasainiwa  lakini  idara yao imejitahidi kufanya uhamasishwaji wa wananchi  wa eneo la Namanga kwa kuwa sisitiza kuwa Ardhi  iliyo pimwa ni mali hai na ardhi ambayo haijapimwa nia mali mfu   kwa maana  ya kuwa  haitambuliki na serikali  pindi  utakapohitaji  msaada  kama vile mkopo.


Vilevile Bi.Letara amesema wananchi kwa upande wao wameonesha moyo na mwitiko mkubwa katika  zoezi hilo la upimaji ardhi  kwani wameelimishwa  kuhusiana na umuhimu wa  upimaji ardhi ikiwa ni  kuweza kupata mkopo benki,kuepuka msongamano wa makazi  katika eneo moja ,kurahisisha zoezi la usafirshaji  kutokana na uwepo wa barabara.


Pia amesema kuna mwongozo   chini ya sheria na mamlaka ya ardhi unaoeleza kuwa kila mwananchi anatakiwa kutenga sehemu ya eneo  lake kwa  ajili ya ujenzi wa barabara na kuwajibika  kumchangia mtu ambaye atakuwepo katika eneo stahiki kwa ajili ya barabara kwa kumfidia gharama zake  za ujenzi na eneo atakalo jengea makazi yake upya.


Aidha kamati hiyo imetoa mapendekezo  ya gharama za urasimishaji ikiwa ni kupanga,kupima ,kuchonga barabara na mgawanyo  wa mapato kulingana  na ukubwa wa kiwanja kama ifuatavyo  ukubwa wa kiwanja 1.<150 mita sguare ,ni sh.276000, 2.(151___300) meter sguare ni sh.310000, 3.(301___800)meter sguare ni sh.380000, 4.(1501___1500)meter sguare ni sh.495000 na 5.(1501___2500 ni

 Sh.625000.


Pia wamependekeza kuwa kampuni  itafanya  kazi zote za kupanga,kupima,kuainisha ,kuchonga barabara na kuwajibikaji  kulipa fidia zote zitakapo hitajika kwa zoezi la utekelezaji kusimamiwa na halmashauri na mgawanyo wa mapato  ni 10% kwa halmashauri  kuratibu na kusimamia mradi,  10% kwenye kata na 80% inayobakia kwenye kampuni  ikiwa ni gharama za urasimishaji na fidia itakapohitajika .


Hivyo basi ili kazi ianze rasmi  Halmashauri  itaandaa mkataba  wa kisheria wa makubaliano hayo utakao sainiwa na pande zote  husika na kazi hiyo

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • WAZIRI WA MIFUGO AZINDUA CHANJO YA MIFUGO ,AWATAKA WAFUGAJI KUFUGA KISASA

    July 02, 2025
  • LONGIDO YAAGA MADIWANI WAKE KWA HESHIMA, YASIFIA UONGOZI WAO WA HEKIMA NA BUSARA

    June 20, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM