• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MAAFISA UCHAGUZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI WAMESHIRIKI MAFUNZOYA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAAWA MWAKA 2024 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO

Posted on: September 30th, 2024

Maafisa Uchaguzi Wasaidizi 69 ngazi ya Wilaya ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido wamehudhuria mafunzo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Mafunzo haya yamefanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido kwa lengo la kuwaandaa maafisa hao katika kuendesha uchaguzi kwa ufanisi na kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa. Mafunzo hayo yanawahusisha mbinu bora za kusimamia mchakato wa upigaji kura, usimamizi wa vituo vya kupigia kura, pamoja na jinsi ya kukabiliana na changamoto zinazoweza kutokea wakati wa uchaguzi.

Mafunzo hayo yameandaliwa ili kuhakikisha kuwa maafisa uchaguzi wasaidizi wanapata uelewa wa kina kuhusu taratibu na sheria zinazohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024. Katika mafunzo haya, mada mbalimbali zimejadiliwa, ikiwa ni pamoja na:

Sheria na Kanuni za Uchaguzi, Maafisa walielimishwa juu ya sheria zinazohusiana na mchakato wa uchaguzi, ikiwa ni pamoja na haki na wajibu wa wapiga kura, wagombea, na wasimamizi wa uchaguzi.Utunzaji wa Vifaa vya Uchaguzi, Wamefundishwa jinsi ya kusimamia na kutunza vifaa vya uchaguzi, kama vile masanduku ya kura, karatasi za kupigia kura,ili kuhakikisha usalama na uadilifu wa zoezi zima.Usimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura, Maafisa hawa walifundishwa mbinu bora za kuandaa na kusimamia vituo vya kupigia kura, kuhakikisha kila kitu kinaenda kwa mpangilio na upigaji kura unafanyika kwa amani.

Kuepusha na Kukabiliana na Migogoro, Walielekezwa namna ya kushughulikia malalamiko, migogoro, au vitendo vya uvunjifu wa sheria vinavyoweza kutokea wakati wa uchaguzi, ili kuhakikisha zoezi linaendelea kwa amani na haki.Mafunzo haya ni sehemu muhimu ya maandalizi ya uchaguzi, yakilenga kuimarisha uadilifu na kuondoa changamoto zozote zinazoweza kutokea wakati wa mchakato wa uchaguzi. Maafisa hao wametakiwa kuwa waadilifu na kufanya kazi kwa uaminifu ili kuhakikisha wananchi wanapata haki yao ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwa njia iliyo huru na ya haki.

"UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA SAUTI YA WANANCHI SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA".

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.