• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Madume ya mbegu aina ya BORAN yawapa tumaini wafugaji Longido

Posted on: May 30th, 2018

Shirika la maendeleo ya jamii  HEIFER  Tanzania International  leo tarehe 30/6/2918 limekabidhi madume 70 aina ya boran  kwa  uongozi wa Wilaya ya  Longido.

Akizungumza wakati wa kukabidhiwa madume hayo katibu Tawala wilaya ya longido ndg.Toba Nguvila  aliipongeza sana shirika la HEIFER  kwa kutambua hitaji kubwa la  jamii   kwani  asilimia 95%  ya wananchi wa longido  wafugaji.

Aidha aliendelea kusema kuwa  kwa wilaya ya viwanda  ni imani yake sasa soko la kuchakata nyama  litakapo kamilika  litapata mifugo yenye afya na nyama  ya kutosha itakayo kidhi mahitaji ya watu.

Nguvila aliwataka maafisa mifugo wa halmashauri wasimamie madume hayo na kuyafuatilia kuhakikisha lengo la mradi linatimia la kuwa na ng'ombe bora wa kisasa.

Naye  kaimu mkurungenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya longido ndg.Gerson Mtera ametoa ombi kwa shirika la HEIFER kusaidia kupatikana  kwa maji ya mifugo kwani kutokana na mvua zilizonyesha zimesababisha mabwawa matatu kupasuka na matokeo yake  kusababisha upotevu wa maji yaliyokuwa yakitegemewa kwa ajili ya mifugo.

Lakini pia Mtera ameliomba shirika la HEIFER kufikisha mradi huu kwa vijiji vyote vya wilaya ya Longido.

Naye mratibu wa mradi ndg sayaeli amefafanua kuwa mradi huu unatekelezwa kwa muda wa miaka 5 na ulianza mwaka 2015 na utakamilika 2020

Aidha mradi huu unafanyika katika vijiji 8  vya tarafa ya Engarenaibor na Kitumbeine.

Nao wananchi wa vijiji hivyo wamelishukuru sana shirika la HEIFER na kuahidi kuyatunza madume hayo ili wapate  ng'ombe bora katika vijiji vyao na kuweza kuyaboresha maisha yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.