• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MAFUNZO YA WATAALAMU WA H\W LONGIDO KUHUSU MFUMO WA TAKWIMU PLANREP NA FFARS

Posted on: October 2nd, 2017

            Na Johnson Ismail

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

         Ufunguzi wa Mafunzo hayo ya Mfumo wakuandaa Bajeti  wa  PLANRES na FFARS yamefunguliwa rasmi leo kwenye ukumbi wa Mwal J.K Nyerere mafunzo hayo yatakayo chukua siku tano yakiwa na malengo yakuongeza ujuzi/maarifa juu ya mfumo mzima wa takwimu.

       Mafunzo hayo yamejumuisha wakuu wa Idara na Vitengo,Maafisa Bajeti kutoka kwenye Idara na Vitengo pia Wajumbe wa CHMT ambao kwapamoja watajihusisha na utaratibu mzima wa uandaaji wa bajeti kwenye maeneo yao kulingana na shughuli zitakazo fanyika na mfumo mzima wa matumizi kulingana na bajeti zao.

       Hatahivyo mafunzo hayo yamefunguliwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye ni Afisa utumishi  (W)Longido Ndg.Steven Mbombe kwa kuwataka watumishi hao  kuzingatia mafunzo hayo kwakuwa mpango wa Bajeti ndio dira ya shughuli zitakazo tekelezwa kwa mwaka Mzima.

“Bajeti ni mpango hivyo kushindwa kupanga malengo itapelekea kushindwa kutekeleza malengo,hivyo kila mmoja kwa nafasi yake awe makini kujifunza na kuyaelewa mafunzo hayo”.amesemsa Kaimu Mkurugenzi.

       Hatahivyo Afisa Mipango wa Halimashauri ya Longido Peter Ngusa amesema kuwa Mafunzo haya yana lenga kuwa jengea uwezo Watumishi juu ya mfumo wa PLANRES na FFARS ambao umeboreshwa na mifumo mingine kama Epicor,LGRCIS na mifumo mingine.

          Aidha Afisa Mipango Ngusa amesema kuwa mfumo huu umepunguza gharama kwa kuwa maandalizi yatafanyika kwenye mfumo yaani Online kadhalika na uwakilishaji wake ni tofauti na zamani ilikuwa lazima watu kusafiri kwenda kuwasilisha bajeti, hali ambayo kwa sasa haitakuwepo .

Pia washiriki wa Mafunzo hayo wakuu wa Idara,Vitengo Maafisa Bajeti,wali furahishwa na ufunguzi huo na kusema ni njia nzuri ya kuwafundisha kwani watakua wana tumia mafunzo hayo vizuri katika utendaji wao wa kazi na kuacha kutumia pesa nyingi kwaajili ya kusafiri kuwasilisha Bajeti.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.