• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MAZUNGUMZO YA WADAU WA UTALII LONGIDO YAFUNGUA NJIA MPYA ZA MAENDELEO

Posted on: August 12th, 2025

Na Happiness Nselu

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Bwana Nassoro Shamzigwa, amefanya mazungumzo na wadau wa sekta ya utalii wanaotekeleza shughuli zao katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo.

Kikao hicho, kilichofanyika Tarehe 12 Agosti 2025 katika ukumbi Mdogo wa Halamshauri ya Wilaya ya Longido, kililenga kujadili njia bora za kuendeleza na kutangaza vivutio vya kitalii na urithi wa utamaduni wa Longido, pamoja na kutatua changamoto zinazokabili wadau hao wa sekta ya utalii.

Bwana Shamzigwa alisisitiza umuhimu wa wadau kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa ili kulinda rasilimali za kitalii na kuhakikisha sekta hiyo inakua kwa tija na endelevu.

“Tukizingatia sheria na kanuni, tutalinda urithi wetu wa kipekee, kuongeza wageni, na kukuza pato la wananchi na taifa kwa ujumla,” alisema Mkurugenzi

Mkuu wa Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Rajab Mmunda, aliwapongeza wadau hao kwa kuchagua Longido kama eneo la shughuli zao za kitalii, akibainisha kuwa mchango wao unaongeza mapato ya halmashauri na serikali. Aliahidi kwamba maoni na changamoto zilizowasilishwa zitafanyiwa kazi ili kuboresha zaidi sekta hiyo.

Kwa upande wake, Bw. Ally Mwako, Mratibu wa Longido Cultural tourism, alimshukuru Mkurugenzi Mtendaji kwa kuitisha kikao hicho, akisema kuwa hatua hiyo ni ishara ya dhamira ya serikali kushirikiana na wadau katika kukuza utalii na urithi wa utamaduni.

Bwana Mwako aliahidi kuwa wadau wataendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha sekta ya utalii inakua kwa mpangilio unaonufaisha wananchi na taifa kwa ujumla.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.