• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA KUENDESHA JUKWAA LA WANAWAKE NA VIJANA NDANI YA WILAYA YA LONGIDO

Posted on: January 15th, 2018

Katika kutetea usawa,uwajibikaji,na utawala bora kwa jamii Chama cha wanasheria wanawake Tanzania(TAWLA) kimefanya mkutano wa jukwaa la wanawake na vijana  katika halmashauri ya wilaya ya longido mkoani Arusha leo tarehe 15/01/2018.

 Mikutano kama hiyo imefanyika katika mikoa mitatu Tanzania nayo ni mkoa wa   Arusha,Mwanza na Tanga na kufanyika kwa majimbo matano katika mkoa wa  Arusha ikiwa ni Arumeru
 ( magharibi& mashariki) karatu,monduli na longido. Na lengo kuu ni  kuhamasisha wanawake na  vijana  kushiriki katika  nyanja mbalimbali  za
 uongozi kisiasa katika uchaguzi utakao fanyika 2019/2020.

 Wakati akihutubia mkutano huo aliyekuwa mgeni rasmi ndg. Toba Nguvila ameeleza kuwa TAWLA kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo wamekuwa kipaumbele kuhakikisha wanawake na vijana  wanatambua haki zao za msingi kwa kushiriki katika  nyanja mbalimbali za uongozi kisiasa huku wakimwunga rais mkono kuwa haki na
 Usawa katika uongozi ni kazi tu katika utendaji.

 Pia kwaupande wao wananchi wameweza kutoa changamoto na maoni yao juu ya changamoto ambazo zinapelekea wanawake na vijana wengi kushindwa kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi  ambazo ni   1; mfumo dume 2; uchu wa madaraka 3;kukosa ujasiri 4;maswala ya kiuchumi 5;imani potofu 6; mfumo duni kielimu 7 ; mifumo ndani ya vyama vya siasa 8; kujijengea imani kuw kijana nitaifa la kesho hivyo hapaswi kugombea kwa sasa.

 Vilevile wametoa maoni yao kuwa  ili kutatua matatizo hayo  ni vyema kuondokana  na fikra potofu,rushwa,chuki na mifumo ndani ya vyama vya siasa.

 Hivyo basi wadau hao wa TAWLA  ambao ni maafisa wanasheria ndg.Ekaria michael,Neema  Ahmed na Silivia Hatbeti wameeleza kuwa pamoja na uhamasishwaji wa wanawake na vijana  pia wame anzisha miradi mbalimbali na kwa sasa wakitekeleza mradi wa  ( WYPRE)  woman & youth Politica Representation Enhanced wenye lengo  la kuongeza ushiriki wa wanawake na vijana  watakaowania nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao yaani  uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM