• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MKUTANO WA KUENDESHA JUKWAA LA WANAWAKE NA VIJANA NDANI YA WILAYA YA LONGIDO

Posted on: January 15th, 2018

Katika kutetea usawa,uwajibikaji,na utawala bora kwa jamii Chama cha wanasheria wanawake Tanzania(TAWLA) kimefanya mkutano wa jukwaa la wanawake na vijana  katika halmashauri ya wilaya ya longido mkoani Arusha leo tarehe 15/01/2018.

 Mikutano kama hiyo imefanyika katika mikoa mitatu Tanzania nayo ni mkoa wa   Arusha,Mwanza na Tanga na kufanyika kwa majimbo matano katika mkoa wa  Arusha ikiwa ni Arumeru
 ( magharibi& mashariki) karatu,monduli na longido. Na lengo kuu ni  kuhamasisha wanawake na  vijana  kushiriki katika  nyanja mbalimbali  za
 uongozi kisiasa katika uchaguzi utakao fanyika 2019/2020.

 Wakati akihutubia mkutano huo aliyekuwa mgeni rasmi ndg. Toba Nguvila ameeleza kuwa TAWLA kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo wamekuwa kipaumbele kuhakikisha wanawake na vijana  wanatambua haki zao za msingi kwa kushiriki katika  nyanja mbalimbali za uongozi kisiasa huku wakimwunga rais mkono kuwa haki na
 Usawa katika uongozi ni kazi tu katika utendaji.

 Pia kwaupande wao wananchi wameweza kutoa changamoto na maoni yao juu ya changamoto ambazo zinapelekea wanawake na vijana wengi kushindwa kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi  ambazo ni   1; mfumo dume 2; uchu wa madaraka 3;kukosa ujasiri 4;maswala ya kiuchumi 5;imani potofu 6; mfumo duni kielimu 7 ; mifumo ndani ya vyama vya siasa 8; kujijengea imani kuw kijana nitaifa la kesho hivyo hapaswi kugombea kwa sasa.

 Vilevile wametoa maoni yao kuwa  ili kutatua matatizo hayo  ni vyema kuondokana  na fikra potofu,rushwa,chuki na mifumo ndani ya vyama vya siasa.

 Hivyo basi wadau hao wa TAWLA  ambao ni maafisa wanasheria ndg.Ekaria michael,Neema  Ahmed na Silivia Hatbeti wameeleza kuwa pamoja na uhamasishwaji wa wanawake na vijana  pia wame anzisha miradi mbalimbali na kwa sasa wakitekeleza mradi wa  ( WYPRE)  woman & youth Politica Representation Enhanced wenye lengo  la kuongeza ushiriki wa wanawake na vijana  watakaowania nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao yaani  uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.