• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MKUTANO WA MKUU WA WILAYA/LONGIDO,NA WANANCHI WA KIJIJI CHA ENGIKARET

Posted on: September 14th, 2017

CHANGAMOTO ZA KIJIJI CHA ENGIKARET TENA BASI

     NAJOHNSON ISMAIL 

                       Approved By Joseph peter mkumbwa.  agDICTO   

          Mkutano wa Mkuuwa Wilaya naWananchiwa Kijiji cha Engikaret uliofanyika  Shule ya Msingi Engikaret kwa Lengo/Dhumuni la kusikiliza na kutatua Matatizo na changamoto za Kijiji hicho.

       MkutanohuouliohudhuriwanaViongozi waHalmashauri,Watumishi mbalimbali naWana kijijiwa Kijiji hicho kwalengo la kuhakikishaMatatizoyaArdhi,Mipaka,Maji,naMaendeleoyanapatiwaufumbuzi.

      Akizungumza na wananchi wa Kijiji hicho Mkuu wa Wilaya ya Longido Mh.Daniel Godfrey Chongolo, Alianza kwa kuwataka wanaKijiji haokueleza matatizo yao yanayowakabili, Ambapo wengiwao walionekana kuwanatatizo la Fidia ya Ardhi nguzozaumemezilipopitia,mipaka.Hivyoaliamua kutoa maamuzi nakusema “Nimegundua kunashida kubwa ya Ardhi inayosababishwa na viongozi wenyewe,Hivyo Wiki ijayokuanzia Tarehe26 nakuendelea nakuja kuzungukia maeneo yote yaliyopitiwa nanguzozaUmeme na Mipaka yote ilikutatua matatizohayo.”

      Hatahivyo Mh.Chongolo amewataka wanakijijihao kutojadilitena swalahilo kwani ameshalitolea maamuzi na pia swalahilo likochiniyake analifanyiakazi, naswala la Majikutoka Siha Mlima Kilimanjaro niyauhakika.

       Mh.Chongolo Alimalizia kwa kuwapongeza wazazi kwakuchangia chakula cha wanafunzi na kuwataka Wananchi kutunza chakula kwa ajili  yakukitumia Msimu wabei zinapopanda Pia amewataka viongozi waSerikali za Mitaa na Vijiji kuwamakini na Uharibifuwa Mazingira Hasa  Uchomaji wa Mikaa kuchukua hatua kablahajafanya uchunguzi wa kina mwenyewe nakuwatoleamaamuzi

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.