• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT

Posted on: August 21st, 2025

Na Happiness Nselu

Mkuu wa Wilaya ya Longido ameungana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Kenani Labani Kihongosi, pamoja na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Arusha katika mazoezi ya viungo (Jogging) yaliyofanyika mapema jana kwenye Viwanja vya Mgambo, Uzunguni Jijini Arusha.

Jogging hiyo imekuwa sehemu ya ufunguzi wa Tamasha la Tanzania Samia Connect, lililoanzishwa na Mhe. Kihongosi kwa lengo la kusherehekea mafanikio ya miaka minne ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza baada ya mazoezi hayo, Mkuu wa Wilaya ya Longido alisema ushiriki wake pamoja na viongozi wengine ni ishara ya mshikamano na mshirikiano kati ya serikali na wananchi katika kuunga mkono jitihada za maendeleo zinazoendelea kutekelezwa nchini.

Mbali na maadhimisho, tamasha hilo linatoa huduma mbalimbali bure kwa wananchi, ikiwemo vipimo na matibabu ya macho, uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari na shinikizo la damu. Zaidi ya miwani 3,000 zinatarajiwa kutolewa bure kwa wagonjwa watakaobainika kuhitaji.

Huduma nyingine zitakazopatikana kuanzia jana hadi kilele cha tamasha Agosti 23, 2025, ni pamoja na utoaji wa hati za ardhi, vitambulisho vya taifa na uraia, ukaguzi bure wa magari, pamoja na huduma zinazotolewa na mashirika ya serikali, taasisi na sekta binafsi.

Aidha, tamasha hilo limekuwa fursa kwa wajasiriamali wadogo kuuza bidhaa mbalimbali ikiwemo vyakula, hivyo kuongeza kipato na kujenga uchumi wa wananchi.

Kwa mujibu wa RC Kihongosi, Tanzania Samia Connect ni jukwaa la mshirikiano, linalolenga kuimarisha mshikamano kati ya wananchi na serikali sambamba na kusherehekea hatua kubwa za maendeleo zilizopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • WANAFUNZI 219 WAHITIMU KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR

    October 06, 2025
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA WAZEE KWA SHANGWE NA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA

    September 26, 2025
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    September 20, 2025
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    September 20, 2025
  • View All

Video

KARIBU LONGIDO LANGO LA UTALII
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.