• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SHIRIKA LA CONVOY OF HOPE(COH) LATOA MSAADA WA CHAKULA KWA KAYA ZILIZO ATHIRIKA NA UKAME LONGIDO.

Posted on: May 29th, 2023

Shirika la kikistro lisilo la kiserikali la CONVOY OF HOPE(COH) limetoa msaada wa chakula kiasi Cha Tani 50 na Maharage Tani 18 Kwa ajili ya kaya zilizo athirika na ukame katika vijiji vya Emurtoto, Lesing'ita,na Mundara.

Mkurugenzi wa shirika la CONVOY OF HOPE ndugu Geofrey Mjema akikabidhi Chakula hicho Kwa Mkuu wa Wilaya ya Longido amesema baada ya shirika kusikia taarifa ya tathimini iliyofanyika na kuonyesha Longido Kuna waathirika wa Janga la njaa shirika la CONVOY liliomba msaada kutoka makao makuu yaliyopo Marekani na msaada huo umepatika hivyo pokea Kwa ajili ya wananchi Hawa wa Longido,alisema Mkurugenzi Mjema.


Nae Mkuu wa Wilaya ya Longido Mh.Ng'umbi amelishukuru shirika la CONVOY Kwa msaada huo.

 'Ninawashukuru sana shirika la CONVOY OF HOPE Kwa misaada yote mnayotoa Kwa jamii yetu, msaada wa Chakula,mifugo,mbegu na Kisima Cha maji ambacho Kijiji chote wanakunywa na wanafunzi wetu wanapata lishe bora Kwa kuwa na mboga za majani muda wote lakini pia Kwa kuwapatia taulo za kike ambazo zinawafanya watoto wa kike wahudhurie masomo yao bila shida,Sasa basi niwaombe wananchi muendelee na utaratibu wa kuwapatia watoto hawa chakula,taulo za kike hata baada ya shirika la CONVOY OF HOPE kumaliza mkataba wao, alisema Mh.Ng'umbi'

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YAAGA MADIWANI WAKE KWA HESHIMA, YASIFIA UONGOZI WAO WA HEKIMA NA BUSARA

    June 20, 2025
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    June 17, 2025
  • LONGIDO YATOA VIPAJI KUUNDA TIMU YA MKOA KWENYE MASHINDANO YA UMISSETA

    June 06, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAPELEKA TIMU YA UMITASHUMTA KATIKA MASHINDANO YA MKOA ARUSHA 2025

    May 28, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM