• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

Posted on: July 30th, 2025

Na Happiness Nselu.


Shirika lisilo la kiserikali la MONDO Tanzania limekabidhi magodoro 32 kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Longido, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono elimu jumuishi wilayani humo.

Makabidhiano yalifanyika shuleni Longido na kuhudhuriwa na viongozi wa serikali, wawakilishi wa MONDO na wadau wa maendeleo.

Naye Mwenyekiti wa MONDO Tanzania, David Kereyani Kinisi, alisema msaada huo ni mwendelezo wa jitihada za shirika hilo katika kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalumu kwa kuwapatia vifaa kama magodoro, vitanda, mashine za kusomea kwa watoto wenye uoni hafifu na kuwawezesha kufika hospitalini kwa uchunguzi wa macho.


“Wapo watoto waliokuwa hawaoni kabisa, lakini baada ya uchunguzi na usafishaji wa macho, baadhi yao wameanza kuona kwa kiwango fulani,” alisema Kinisi.

Msaada huo ulipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Longido,Mhe. Salum Abdalah Kalli, ambaye aliishukuru MONDO TANZANIA kwa mchango wake wa kuboresha maisha ya watoto wenye changamoto.


Naye Mkuu wa shule hiyo,Mwl. Charles Mmbando, alisema magodoro hayo yataboresha mazingira ya kulala kwa wanafunzi na kuongeza ari ya kujifunza.


Bi. Tunu Manga, mmoja wa wadau wa maendeleo, alitoa wito kwa jamii kuwapeleka shule watoto wenye mahitaji maalumu badala ya kuwaficha, kwani kuna mashirika kama MONDO TANZANIA yanayotoa msaada.


Dada Mkuu wa shule hiyo alieleza kuwa msaada huo umewaletea faraja kubwa watoto waliokuwa wakilala katika mazingira duni.


MONDO TANZANIA imeendelea kuwa mshirika wa maendeleo ya elimu na huduma jumuishi kwa watoto wenye mahitaji maalumu Longido.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • WAZIRI WA MIFUGO AZINDUA CHANJO YA MIFUGO ,AWATAKA WAFUGAJI KUFUGA KISASA

    July 02, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.