• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

Posted on: July 30th, 2025

Na Happiness Nselu.


Shirika lisilo la kiserikali la MONDO Tanzania limekabidhi magodoro 32 kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Longido, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono elimu jumuishi wilayani humo.

Makabidhiano yalifanyika shuleni Longido na kuhudhuriwa na viongozi wa serikali, wawakilishi wa MONDO na wadau wa maendeleo.

Naye Mwenyekiti wa MONDO Tanzania, David Kereyani Kinisi, alisema msaada huo ni mwendelezo wa jitihada za shirika hilo katika kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalumu kwa kuwapatia vifaa kama magodoro, vitanda, mashine za kusomea kwa watoto wenye uoni hafifu na kuwawezesha kufika hospitalini kwa uchunguzi wa macho.


“Wapo watoto waliokuwa hawaoni kabisa, lakini baada ya uchunguzi na usafishaji wa macho, baadhi yao wameanza kuona kwa kiwango fulani,” alisema Kinisi.

Msaada huo ulipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Longido,Mhe. Salum Abdalah Kalli, ambaye aliishukuru MONDO TANZANIA kwa mchango wake wa kuboresha maisha ya watoto wenye changamoto.


Naye Mkuu wa shule hiyo,Mwl. Charles Mmbando, alisema magodoro hayo yataboresha mazingira ya kulala kwa wanafunzi na kuongeza ari ya kujifunza.


Bi. Tunu Manga, mmoja wa wadau wa maendeleo, alitoa wito kwa jamii kuwapeleka shule watoto wenye mahitaji maalumu badala ya kuwaficha, kwani kuna mashirika kama MONDO TANZANIA yanayotoa msaada.


Dada Mkuu wa shule hiyo alieleza kuwa msaada huo umewaletea faraja kubwa watoto waliokuwa wakilala katika mazingira duni.


MONDO TANZANIA imeendelea kuwa mshirika wa maendeleo ya elimu na huduma jumuishi kwa watoto wenye mahitaji maalumu Longido.



Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • TFFT YATAMBULISHA MRADI WA KUIMARISHA ELIMU YA MSINGI WILAYANI LONGIDO

    January 23, 2026
  • TAKUKURU LONGIDO YATOA ELIMU YA MAADILI KWA WALIMU WAKUU

    January 23, 2026
  • LONGIDO YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UFAULU NA KUBORESHA ELIMU MWAKA 2026

    January 23, 2026
  • DC LONGIDO AKABIDHI MADAWATI 40 SHULE YA MSINGI KITARINI, APONGEZA USHIRIKIANO WA WANANCHI

    January 22, 2026
  • View All

Video

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 29 0KTOBA 2025
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200