• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

SHULE YA SEKONDARI NATRON FLAMINGO'S YAUNGA MKONO MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAFUNGA MFUMO WA GESI

Posted on: October 14th, 2025


NA ABRAHAM NTAMBARA

Katika kuunga mkono Kampeni ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya Matumizi ya Nishati Safi ya kupikia, Shule ya Sekondari Natron Flamingo's iliyopo Kijiji cha Meirugoi, Kata ya Gelai Meirugoi, wilayani humo, mkoani Arusha imefunga mfumo wa gesi na kuanza kupikia chakula cha walimu na wanafunzi shuleni hapo.

Kufungwa kwa mfumo huo ni utekelezaji wa maagizo ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Longido aliyoyatoa mwaka jana shuleni hapo ya kutaka kuanza kutumika kwa nishati safi ya kupikia badala ya kuendelea na mazoea ya kutumia kuni lengo likiwa ni kuunga mkono kampeni ya Serikali ya kuhamasisha matumiza ya nishati safi ya kupikia nchin.

Akizungumza Oktoba 13, 2025 baada ya kutembelea na kujionea mfumo huo na namna unavyofanya kazi, Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Longido  Mwl. Gilbert Sombe aliupongeza uongozi wa shule hiyo chini ya Mwalimu Mkuu Hassan Hassan kwa kutekeleza maagizo yake kwa haraka na kwa wakati.

Hata hivyo Mwl. Sombe alitumia fursa hiyo kutoa wito kwa Shule nyingine za Sekondari wilayani humo kuhakikisha zinaiga mfano wa Shule ya Natron Flamingo's na kufunga mfumo huo na kuachana na matumizi ya kuni ambayo yanaharibu mazingiri na nihatari pia kwa afya.

"Nipende kuupongeza uongozi wa shule chini ya Mwalimu Mkuu kwa kufunga mfumo huu na nitoe wito kwa Walimu Wakuu wa Shule zingine kuiga mfano huu, wafunge mfumu huu wa gesi kwani ni mzuri na rahisi badala ya kuendelea kutumia kuni," alisema Mwl. Sombe.

Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Hassan Hassan alisema mfumo huo ulianza kutumika tangu Septemba 5, 2025 na kwamba una majiko tisa (9) ambapo kati ya hayo majiko nane (8) ni kwa ajili ya kupikia chakula cha Wanafunzi huku jiko Moja (1) likiwa ni kwa ajili ya kupikia chakula cha  walimu.

Alisema kuwa matumizi ya nishati ya gesi kwa kupikia ni rahisi na chakula huiva vizuri tena kwa muda mfupi na kuifanya gesi kutotumika sana kwani tangu waanze kuitumia hadi sasa wemeshatumia nusu tu ya gesi hiyo, ikilinganishwa na kipindi ambacho walikuwa wakipika kuni.


Havyo alisisitiza kuwa matumizi ya nishati hiyo ni salama kwa mazingira na afya kwa binadamu, na kwamba wamefanya hivyo ikiwa ni utekelezaji wa melekezo ya Serikali ya kutumia nishati safi ya kupikia.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • WWF YAWANOA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU SERA YA UTUNZAJI MAZINGIRA LONGIDO

    October 15, 2025
  • COMPASSION NA SERIKALI WAUNGANA KUMWEZESHA MTOTO WA KIKE NAMANGA

    October 13, 2025
  • SHULE YA SEKONDARI NATRON FLAMINGO'S YAUNGA MKONO MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAFUNGA MFUMO WA GESI

    October 14, 2025
  • SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA KERO YA MAJI SHULE YA SEKONDARI NATRON FLAMINGO'S IFIKAPO JANUARI 2026

    October 14, 2025
  • View All

Video

KARIBU LONGIDO LANGO LA UTALII
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.