• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TASAF Longida yapiga hatua

Posted on: June 2nd, 2019

Katika kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli Halmashauri ya Wilaya ya Longido kupitia Ofisi ya Mpango (TASAF) imeendeleza utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo pamoja na Miradi ya kutoa ajira kwa muda mfupi kwa Kaya maskini ndani ya Wilaya hiyo.

Akitoa ufafanuzi Mratibu wa Mpango (TASAF) wa Wilaya Ndg. Lobulu Saruni Ofisini kwake Juni mosi 2019 amesema kuwa TASAF Wilaya ya Longido imefikia hatua nzuri kimaendeleo katika kuhakikisha inatoa huduma za maendeleo kwenye jamii.

 Aidha Lobulu amedai kuwa Miradi yote ya Maendeleo inayotekelezwa chini ya usimamizi wa TASAF katika Wilaya ya Longido, baadhi imekwisha kukamilika kwa asilimia miamoja (100%) na mengine ikiwa katika utekelezaji kwa asilimia 65% na kuendelea.

Hata hivyo ametaja Miradi ya Maendeleo inayetekelezwa na TASAF kuwa ni utekelezaji wa Miundombinu ya Elimu kwa ujenzi  wa Nyumaba za Walimu two in one katika Shule ya Msingi Ilchang’itsapukin Mradi abao ulianza kujengwa mwezi Februali 2019 na wenye thamani ya fedha za kitanzania Tsh. 76,112,825.75 na unatarajiwa kumalizika Mwishoni mwa mwezi juni 2019.

Pia TASAF Longido ipo katika utekelezaji wa ujeni wa Vyumba vya Madarasa 2, Ofisi ya Walimu na Vyoo matundu 6 katika Shule ya Ilchang’isapukin wenye thamani ya Tsh. 72,283,501.71 ambao upo katika hatua za mwisho na pia Lobulu amesema upo Mradi wa ujenzi wa Uzio wa Shule ya Msingi Ilchang’itsapukin wenye thamani ya Tsh. 71,817,248.37 na utekelezaji  tayari Ukuta (Uzio) umekwishaanza kujengwa.

Mradi wa utekelezaji wa ujenzi wa Bweni la Wanafunzi Shule ya Sekondari Endaimet wa Tsh. 71,677,101.26 na upo katika hatua za umaliziaji, ujenzi wa Zahanati Kijiji cha Olchoroonyokie ambao utagharimu Tsh. Milion Miamoja na mbili (102,000,000) na Fedha ambazo zishapelekwa ni Milion Sabini na Moja (71,000,000) wakati huo taratibu za kupeleka Fedha za umaliziaji zimekwishaanza.

Vilevila Lobulu ametolea ufafanuzi wa juu ya Miradi ya kuta ajira kwa muda mfupi kwa Walengwa ambao ni Kaya Maskini yaani Public Work Programme (PWP) kuwa ni ukarabati wa Barabara ya Jamii Km 7 kijiji cha Alaililai ambao utagharimu Tsh. 731,834,084.48, Barabara ya Jamii Km 6.5 Kijiji cha Sakane wa Tsh. 74,401,078.60, Barabara ya Jamii Km 10 Kijiji cha Olmolog Tsh. 73,878068.81 huku akisema kuwa utekelezaji wa Barabara zote umefikia asilimia 65%.

Lobulu amebainisha Miradi iliyokwisha wafikia Walengwa kwa asilimia 100% kuwa ni Ufugaji wa kuku wa Kienyeji  katika Vijiji vya  Mundarara , Mairouwa na Irkaswa ambapo  kila kijiji kilikuwa na Walengwa 75 na vilipata idadi sawa ya Kuku 825 kwa  huku kila kijiji kikiwa na thamani ya Tsh. 22,947,808.45.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM