• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza Uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata za Kamwanga, Elang'atadapash na Olmolog

Posted on: July 11th, 2018

Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Kifungu cha 13(3) imetoa taarifa ya kufanyika kwa Uchaguzi Mdogo wa Udiwani tarehe 12 Agosti 2018 kwenye Kata ya Kamwanga, Elang’atadapash na Olmolog. Nafasi wazi zilitokana na Madiwani wa Kata hizo Ndg Jacob Silas Mollel (Elang’atadapash – CHADEMA), Ndg Elias Mepukori Mbao (Kamwanga – CHADEMA) na Ndg Diyoo Lomayani Laizer (Olmolog – CHADEMA) kujiuzulu nafasi zao Januari Mwaka huu.

Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Tume, zoezi la kutoa Fomu za Uteuzi litafanyika kati ya tarehe 08 hadi 14/07/2018, Uteuzi wa Wagombea ni tarehe 14/07/2018, kampeni za Uchaguzi ni tarehe 15 Julai hadi 11 Agosti na Upigaji Kura utafanyika tarehe 12/08/2018

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Longido Ndg Jumaa Mhina amewahakikishia Wananchi wa Kata hizo kuwa Uchaguzi utakuwa wa amani, huru na haki na akatoa rai kwa Wananchi kujitokeza kwa wingi kutimiza wajibu wao wa kidemokrasia kwa kuwachagua Viongozi wanaowataka ili kuwawakilisha kwenye Baraza la Madiwani. Aidha alisema Ofisi yake itatoa ushirikiano unaohitajika ili kufanikisha zoezi hilo na akawataka wasisite kuwasiliana na Afisa Uchaguzi na Utawala Bora wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido Ndg Constantine Mnemele kupitia namba 0786 784 265.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.