• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIONGOZI WA UMMA WAPEWA MAFUNZO YA MGONGANO WA MASLAHI LONGIDO

Posted on: May 29th, 2019

Viongozi wa Umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido wamekumbushwa kuzingatia maadili ya viongozi katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ili kuondoa mgongano wa Maslahi na kuleta ufanisi wa kazi Serikalini  leo  Mei 29, 2019.

Akitoa mafuzo kwa Watumishi wa Umma  Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini-Arusha Anna Anthony Mbasha yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri (Nyerere) amefafanua kuwa viongozi wa Umma wamekuwa wakisahau majikumu stahiki pindi wanapotekeleza shughuli za kiserikali.

 Mbasha amesema kuwa Mgongano wa Maslahi kwa Watumishi wa Umma unakuja pale Mtumishi anapotumia Mdaraka kujinufaisha mwenyewe, kutumia muda wa Ofisi kufanya mambo yake, kutumia vifaa vya Ofis (Simu, Kompyuta n.k.) kutekeleza majukumu banafsi na mengine mengi ambayo yanalenga kunufaisha upande mmoja.

Hata hivyi Mbasha amesisitiza swala la kuwa na Kamati ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya Wilaya, inayofanya kazi sambamba na Ofisi ya Mkurugenzi kwa kuhakikisha Watumishi hawaendi kinyume na matakwa ya Serikali.

Mwisho Mbasha ameendeelea kesema kuwa Viongozi wa Umma hawaruhusiwi kutoa ama kupokea zawadi yeyote kwa mto yeyote, kujirimbikizia Mali, kutumia Vyeo kuwanyanyasa wengine kwa maslahi ya aina yao wenyewe.

Awali akikaribisha Mafunzo hayo ambayo kimsing amesema yalifunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjoaro Anna Mgwila kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Longido Katibu Tawala Toba Nguvila amesema kuwa Miradi inayotekelezwa na serikali inaweza kukwama kama Viongozi wa Umma watakosa uhadilifu.

Aidha Mguvila ameeleza kuwa Viongozi wamekuwa na Tabia ya kutaka kusimamia wenyewe Miradi inakuwa inatekelezwa na Serikali jambo ambalo upelekea Watumishi wenzao kushindwa kuwawajibisha pale unapokuwa na makosa ya chini ya Kiwango ile hali ya kuwa wote watumishi na wanatokea sehemu moja .

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido Mhe. Jumaa Mhina akifungua Mafunzo hayo amewataka Watumishi kuzingatia taratibu za kiutumishi, Maadili na Uadilifu wakati wote. “Viongozi wote wa Umma na wanasiasa tunatakiwa kuwajibika kikamilifu wakati wote tunapokuwa katika utekelezaji wa shughuli za serikali” Mhe. Mhina

Vilevila Mhe. Mhina amesema kuwa Selikali inayo Mihimili mitatu Mahakama, Bunge na Utawala ambazo zinatakiwa kuwajibika kutekeleza majikumu ya kiserikali ipasavyo na ndio maana katika mafunzo hayo viongozi wa haina hiyo wote wamejumuhishwa kuleta ufanisi. “Madiwani, Wakuu wa Idala zote, Maafisa wa polisi pamoja mafunzo haya yanawahusu kwa kiasi kikubwa ili kujikumbusha uadilifu, uwajibikaji katika kipindi chote cha uongozi” Mhe. Mhina.

KAIMU MWENYEKITI

Watu wanahitaji sana elimu yam AADILI KWA WAtumishi wa umma kwahiyo iendelee kuja hasa kwetu sisi viongozi ili tuendelee kutekeleza katika kutii uadilifu kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM