• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAFANYABIASHA NDIO WANAOJENGA UCHUMI, DC LONGIDO

Posted on: June 21st, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Longido chini ya Mkurugenzi Mtendaji  Ndg. Jumaa Mhina pamoja na Wilaya kwa ujumla chini ya Mhe. Frank James Mwaisumbe imejidhatiti kuzidi kujiweka karibu na Wafanyabiashara wote wa wilaya hiyo huku ikionesha kuwajali na kuwathamini kama ilivyo kwa muhudumu na glas.

Mkuu wa Wilaya Longido Mhe. Frank James Mwaisumbe amefanya kikao na wafanyabiashara wote wa wilaya hiyo wakuu wa Idara mbalimbali zinazohusika na biashara ndani ya Longido huku akiwataka wakuu wa Idara kuhakikisha wanawaheshimu wafanyabiashara kwani wao ndio wanaojenga uchumi wa Taifa.

Aidha amesema kuwa wafanyabiashara wote wanatakiwa kukaa na watu wa mapato , Halmashauri pamoja na sekta nyingine zinazohusika katika shughuli za kibiashara ili kuondoa tofauti zote zinazojitokeza na migogoro isiyo ya lazima.

Awali akijibu hoja za wafanya biashara hao ambazo zililenga kuilalamikia Halmashauri kwa kuonesha kutowajali Wafanyabiashara wake Mhe. Mwaisumbe amewatoa hofu na kuwahaidi atahakikisha anamaliza matatizo yote huku akisisitiza kuwa ndilo lilikuwa kusudi la kuwakutanisha ili kuondoa utofauti.

Vilevile ameendelea kusema kuwa ili shughuli zao ziweze kwenda kama wanavyopanga ni sharti wakanunue paspoti za kusafilia kwa wale wanaokwenda nje ya nchi mara kwa mara ambazo zinadumu kwa muda wa mwaka mzima, pia akasema kuwa paspoti hiyo inakuwa na taarifa zako zote muhimu ambazo hata ukitokewa na tatizo huko nje ya nchi utapata huduma kwa haraka zaidi kuliko wale wenye paspoti za masaa.

Kwa upande wake Ndg. Jumaa Mhina Mkurugenzi Mtendaji amewataka wafanyabiashara waendelee kulipa kodi kadri ya wanavyoelekezwa ili Serikali ipate nguvu ya kuendela kutekeleza Miradi mbalimbali ya kimaendeleo kwa faida ya Wanalongido na Watanzania kwa ujumla.

Hata hivyo Mkurugenzi amewataka wakuu wa Idara husika za Halmashauri kutokukaa Ofisini badala yake kutembela maeneo yote yenye changamoto ma matatizo mbalimbali na kuzitatua na ikishindikana waziwasilishe kunakohusika ili zitatuliwe mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM