• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WAFANYABIASHA NDIO WANAOJENGA UCHUMI, DC LONGIDO

Posted on: June 21st, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Longido chini ya Mkurugenzi Mtendaji  Ndg. Jumaa Mhina pamoja na Wilaya kwa ujumla chini ya Mhe. Frank James Mwaisumbe imejidhatiti kuzidi kujiweka karibu na Wafanyabiashara wote wa wilaya hiyo huku ikionesha kuwajali na kuwathamini kama ilivyo kwa muhudumu na glas.

Mkuu wa Wilaya Longido Mhe. Frank James Mwaisumbe amefanya kikao na wafanyabiashara wote wa wilaya hiyo wakuu wa Idara mbalimbali zinazohusika na biashara ndani ya Longido huku akiwataka wakuu wa Idara kuhakikisha wanawaheshimu wafanyabiashara kwani wao ndio wanaojenga uchumi wa Taifa.

Aidha amesema kuwa wafanyabiashara wote wanatakiwa kukaa na watu wa mapato , Halmashauri pamoja na sekta nyingine zinazohusika katika shughuli za kibiashara ili kuondoa tofauti zote zinazojitokeza na migogoro isiyo ya lazima.

Awali akijibu hoja za wafanya biashara hao ambazo zililenga kuilalamikia Halmashauri kwa kuonesha kutowajali Wafanyabiashara wake Mhe. Mwaisumbe amewatoa hofu na kuwahaidi atahakikisha anamaliza matatizo yote huku akisisitiza kuwa ndilo lilikuwa kusudi la kuwakutanisha ili kuondoa utofauti.

Vilevile ameendelea kusema kuwa ili shughuli zao ziweze kwenda kama wanavyopanga ni sharti wakanunue paspoti za kusafilia kwa wale wanaokwenda nje ya nchi mara kwa mara ambazo zinadumu kwa muda wa mwaka mzima, pia akasema kuwa paspoti hiyo inakuwa na taarifa zako zote muhimu ambazo hata ukitokewa na tatizo huko nje ya nchi utapata huduma kwa haraka zaidi kuliko wale wenye paspoti za masaa.

Kwa upande wake Ndg. Jumaa Mhina Mkurugenzi Mtendaji amewataka wafanyabiashara waendelee kulipa kodi kadri ya wanavyoelekezwa ili Serikali ipate nguvu ya kuendela kutekeleza Miradi mbalimbali ya kimaendeleo kwa faida ya Wanalongido na Watanzania kwa ujumla.

Hata hivyo Mkurugenzi amewataka wakuu wa Idara husika za Halmashauri kutokukaa Ofisini badala yake kutembela maeneo yote yenye changamoto ma matatizo mbalimbali na kuzitatua na ikishindikana waziwasilishe kunakohusika ili zitatuliwe mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.