• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WAHISANI WANNE WASAINI MIKATABA YA HALMASHAURI KUTOKA KWAWAFADHILI (IID)

Posted on: October 10th, 2017

        

              Na Johnson Ismai 

         Mikataba hiyo imesainiwa na wahisani walio pata zabuni hizo mapema hii leo katika ukumbi wa J.M.Kikwete wa Halmashauri ya Wilaya Longido kwalengo la kuhakikisha kukua kwa maendeleo vijijini.

       Wahisani walio saini Mikataba hiyo ni Deniko Construction Ltd ujenzi wa uzio Matale”A”58, kuunga na Engarenaibor220M kwa jumla ya Sh.53,498,126.00. SK building&Civil works LTD ujenzi wa mradi wa maji Kiserian na Orbomba kwa jumla ya Sh. 103,634,680.00. Tanchi Brothers construction co.Ltd ujenzi wa mradi wa maji Losirwa kwa jumla ya Sh.98,412,000.00 Pamoja na ukarabati wa sehemu ya kuogeshea nifugo Leran’gwa na ujenzi wa sehem ya kunywea mifugo maji Olmolog na Irkaswa kwa jumla ya Sh.37,185,163.  J.J Gwakisa Limited ujenzi wa miradi ya Maji Eorendekena Namanga kwa jumla ya Sh.80,236,460.00.

        Akizungumza kwenye kikao hicho marabaada ya kusaini  mikataba hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Sabore Mollaimet amesema kwa kua mikataba imechelewa na mda wakuanza kazi usha tolewa utekelezaji wa miradi unaanza mara kikao kuisha wanao hitaji kwenda kuonyeshwa sehemu za kazi wataenda na pia kwakua nia ni kufanya kazi basi tufanye kazi vizuri kwa mda na kwaubora sawa na dhamani ya fedha wanazo pewa.

        Mh.Sabore amemalizia kwa kuwataka kila mmoja asimame kwa nafasi yake kutekeleza majukumu yake,lazima Mkandarasi alipwe fedha yake kwa uhalali na lazima mkandarasi akabidhi kazi yake yenye viwango vinavyo takiwa kwa maana wakaguzi wata pita kukagua na kutoa taarifa pia ame washukuru wotewalio kamilisha Mchakato huu wa maendeleo ya Longido.

         Hatahivyo Kaimu Mkurugenzi  Bwana Dominiki  Ruhamvya amewataka wakandarasi kwenda kwa mda waliopewa  na  kufanya kazi kwa ufanisi wa hali ya juu ili kujenga jina kwa kampuni yao pia amewaambia fedha ipo barua ziandikwe ili kuhakikisha kila mtu ana chukua fedha yake ya awali.

          Aidha Mratibu wa Miradi ya wilaya Ally Msangi amesema hakuna haja ya kupoteza mda tena baada ya kusaini watu watakuwa kazini tayari kwa kwenda kuona maeneo ya kazi pia amesitiza ubora wa kazi na mda wa kukabidhi kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.