• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WAHISANI WATATU KATI YA SABA WASAINI MKATABA WA ZABUNI YA UKUSANYAJI MAPATO-LONGIDO.

Posted on: September 25th, 2017

 Na Johnson Ismail

        Approved By Joseph Peter Mkumbwa  . ICTO

      Katika kuhakikisha maendeleo ya naongezeka kwa kasi wilayani longido juhudi zimeendelea

kufanyika ili kuhakikisha lengo/dhumuni  la mafanikio linafanikiwa kama linavyo piganiwa.

      Kikao cha kusaini mikataba ya Halmashauri kwa wazabuni mbalimbali walio pita vigezo stahiki kilifanyika mapema leo hii katika ukumbi wa Halmashauri wa J.M.Kikwete (w)Longido.

      Akizungumza kwenye mkutano huo Mkurugenzi Mtendaji,Wakili Jumaa Mhina amesema Halmashauri iko chini kimapato hivyo nilazima kuhakikisha mapato yanapatikana kwa wingi ili Halmashauri iweze kutekeleza miradi yake.

      Hata hivyo Wakili Jumaa Mhina ameendelea kusema wapo wakataji wa risiti wakiona wamesha fikisha kiwango kilicho wekwa na Halmashauri wanasitisha kutoa stakabadhi na fedha zinakuwa za kwao hali mkataba unaonyesha malipo ni asilimia 20% kwa makusanyo ya mwezi mzima,  “tukiwabaini tuta washughulikia ipasavyo” pia amewapongeza wote wanao fanya kazi kwa bidii.

      Zoezi la kusaini Mikataba hiyo liliendelea vizuri,Wahisani walio saini Mikataba hiyo leo ni Oakland Investment,Ndauka Investment  pamoja na Kionge&Alawi Enterprises. Wahisani wengine wane(4) waliomba kusaini kwamda mwingine ndani ya siku hizi 45 kwa kushindwa kufika kwenye kikao hicho kutokana na sababu zilizoko nje ya uwezo wao.

       Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina pamoja na Mwanasheria wa Halmashauri Bwana. Dominiki Ruhamvya Walimaliza kwa kusaini mikataba hiyo na kuwa taka kuwa waaminifu katika kazi ili kujenga Taifa letu “natumaini mtafanya kazi nzuri”alimalizia wakili Mhina.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.