• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Makandarasi Wasaini Mikataba ya Zabuni Tano za Barabara Longido

Posted on: May 2nd, 2017

Mkurugenzi Mtendaji Wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido amesaini na Makandarasi Zabuni Tano za Ujenzi wa Barabara za Halmashauri, Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na Wakuu wa Idara zote (CMT) jumla ya zabuni tano zilisainiwa ambazo zina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni Mia Tano Themanini na Saba. Zabuni hizo zitahusisha Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance ), Matengenezo ya sehemu Korofi  (Spot Maintanence) na Matengenezo ya Gabion.

Katika Zabuni hizo Mkandarasi M/S Central Highway Contractors Ltd amesaini Lot 1 Zabuni ya Matengenezo ya Kawaida kwa Barabara ya Ketumbeine Junction-Gelai Lumbwa na Longido-Lesing'ita-Mairowa, matengenezo ya sehemu Korofi kwa Barabara za Lesing'ita-Mundarara na Matengezo ya Gabion kuzuia mmonyoko wa Udongo Eneo la Daraja la Mundarara.Thamani ya Mkataba ni shilingi 137,655,260/=

Pia Mkandarasi  M/S Laizer Works Ltd amesaini Lot 2 Zabuni  ya Ujenzi wa sehemu Korofi katika Barabara ya Mairowa-Sinonik na Matengezo ya Kalvati barabara ya Mairowa-Sininik. Thamani ya Mkataba ni shilingi 110,856,280/=

Wakati huo huo Mkandarasi  M/S Milkha Singh Jawala Singh amesaini Zabuni ya Mradi wa Matengenezo ya Muda Maalum katika Barbara ya Sinya-Elerai 5km Mkataba huo una thamani ya Shilingi 87,917,080/=.Katika lot Na 4

Kwa Upande wa  Mkandarasi M/S Ngulelo Supplies Service LTD amesaini Zabuni ya Mradi wa Matengenezo ya Muda Maalum katika Barbara ya Mairowa-Matale "A"- Emurtoto na ujenzi wa Kivuko (Solid Drift) barabara ya Matale"A"-Emurtoto. Mkataba huo una thamani ya Shilingi 160,927,338/= Katika Lot Na 3

Lakini pia Mkandarasi M/S Meero Contractors LTD naye ametia sahihi yake katika Zabuni ya mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji na Matengenezo sehemu Korofi barabara ya Longido Mjini. Mkataba huu una thamani ya shilinngi 90,160,083/- katika Lot namba 5

Katika tukio hilo la kipekee Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina amesisitiza kuwa ni vyema Makandarasi wakazingatia ubora na Muda wa Mikataba ili Matengenezo hayo yakamilike kwa wakati uliopangwa ili barabara hizo ziweze kutumika katika shughuli za wanachi za kuleta maendeleo katika Misimu yote ya Mwaka.

Imetolewa na Eng. H. Mshana

Imerushwa na Loth Zacharia & Joseph P Mkumbwa ICTOs

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.