• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WANANCHI WA LONGIDO WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI

Posted on: March 25th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mh. Frank Mwaisumbe leo tarehe 25.03.2019 amesikiliza kero mbalimbali  za wananchi  katika mkutano uliofanyikaLongido mjini ,na kuudhuriwa na mamia ya wananchi waliokusanyika kumsikiliza na kutoa kero zao kwa Mkuu wao wa wilaya.Katika ziara hiyo ambayo imehudhuriwa pia na maofisa mbalimbali wa Halmsahauri ya Longido imeleta faraja kubwa kwananchi waliokuwa na hamu na shauku ya kutoa yaliyokuwa  mioyoni mwao .wananchi wameeleza kero zao mbele ya Mkuu  wa wilaya na wote wamepata ufafanuzi pamoja na mengine kutatuliwa hapo hapo,kero zilizotolewa na wananchi ni kama yafuatayo

1 . Madawa kukosekana kwenye vituo vya afya.Mganga mkuu wa wilaya ya longido  Dr.Justice Munisi amewaasa wanachi wajiunge na mifuko ya afya ili waweze kupata huduma za madawa kwani serikali inatuma dawa kulingana na idadi ya kaya zilizo jiandikisha na mifuko hiyo ya afya ambapo amesema ni kaya 700 tu ndio zilizojiandikisha kwenye  mifuko ya afya kati ya kaya 4000 za Wilaya ya Longido kwa namna hiyo ni ngumu serikali kujua mahitaji ya dawa kwa wananchi.

2 Kero ya passport za kusafiria . Wananchi wamelalamikia kuwa bei ghali inayo gharimu Tsh 30,000.katika swala hili la passport afisa uhamiaji amewaeleza wanachi kuwa hiyo sio passport bali ni hati ya dharura ambayo ni kwa muda mfupi tuu na kuwataka wanachi wanunue passport ambayo ni shilling laki moja na nusu na itadumu kwa miaka 10.Akijibu kero hii kwa wanachi mkuu wa wilaya amewaasa wananchi wanunue passport ya kusafiria inayouzwa kwa shilingi za Tanzania laki moja na nusu na itadumu kwa muda wa miaka 10 bila kusumbuliwa na mtu yeyote,” badala ya kununua passport ya shilingi elfu 30 ambayo ukisafiri mara kumi na laki 3 ni bora ununue passport ya laki na nusu ambayo utaitumia kwa miaka 10” amesema Mh Mkuu wa wilaya.

3.Kero ya Barabara za ndani ya mji .pia imetolewa ufafanuzi na ofisi wa TARURA ambapo amesema  muda siyo mrefu wilaya ya longido ndani ya mji wa longido kutakua na barabara za lami katika mitaa kadhaa ambayo sawa na kilomita 5 ndani ya miaka hii miwili iliyobaki ya rais Magufuli.

4. Kero ya maji pia limezungumziwa na wananchi wamefurahi na kushukuru serikali hii tukufu ya rais MAGUFULI LA kuleta shilingi billion 15.8 kwa ajili ya maji wilayani Longido ,Mh rais wetu JOHN  POMBE MAGUFULI  tunakushukuru sana  kwa maji na muda si mrefu Longido itakuwa kijani/ Green

5.Ardhi ,Migogoro ya ardhi wilayani lomngido imekwisha na mengine yanakaribia kumalizika kabisa ,Mheshimiwa mkuu wetu wa wilaya Frank MWAISUMBE kamwagiza afisa ardhi wilayani kuahakikisha migogoro modogo midogo ya viwanja vya wananchi  vimemalizika kabisa.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.