• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI JAFFO AMWAGA PONGEZI KWA VIONGOZI WA WILAYA YA LONGIDO

Posted on: May 25th, 2019


Waziri wa Ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) Mh Seleman Jaffo leo tarehe 25-05-2019 ametembelea hospitali ya wilaya inayojengwa katika wilaya ya Longido kwa fedha zilizotolewa na Mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh John Pombe Magufuli, hivi karibuni Mh Rais alitoa shillingi billion 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ili kuondoa adha ya wananchi wa Longido kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya upasuaji hasa kwa akina mama wajawazito. Katika ziara hiyo Mh waziri Jafo amefurahishwa na ujenzi wa hospitali ya wilaya iliyoanza tuu hivi karibuni mwezi wa tatu  na jumla ya majengo saba  tayari majengo mengi yashakuwa sehemu ya lenta tayari kwa upauaji.

Katika ziara hiyo Mh amewapongeza na kuwasifia viongozi wa wilaya pamoja uongozi wa halmashauri kwa kazi nzuri na umoja walionao katika kuhakikisha shughuli ya hospitali inaendelea kwa kasi kubwa .

“Mimi naomba niwapongeze dc na timu yako yote naomba niwapongeze,na miradi yote Longido huwa sipati shida  mmejitahidi  sana kuanzia mwezi wa tatu tuu mmefikia hatua hii. Mimi naomba niwapongeze hii ndio team work inayotakiwa nawapongeza sana na nina furaha sana endeleeni kufanya kazi  matumaini yangu mpaka tarehe 30 mwezi wa sita iwetayari ili mwanzoni mwa mwezi wa saba Mh Rais aje kufungua kwa pamoja  .” alisema Mh Jaffo.

Hata hivyo Mh Jaffo amewaahidi fedha zingine takribani million mia tano(500 million)  kwa ajili ya ujenzi majengo mengine  ya hospitali ya wilaya

Pia Mh Jaffo ameagiza  kituo cha afya cha Eworendeke  kifunguliwe kwa ajili ya kutatua matatizo ya afya kwa wilaya ya Longido,kituo cha afya cha eworendeke  kimejengwa na serikali na tayari kimekamilika kwa kutoa huduma za afya wa wakazi wa kimokowa na vijiji vyake ikiwemo eworendeke na vijiji vya jirani.

Katika ziara hiyo mkuu wa wilaya ya longido Mh Frank James Mwaisumbe, amepokea pongezi hizo kwa furaha na kumsifia Mh waziri Jafo kwa kazi nzuri anayofanya, Pia ameshukuru sana serikali ya Rais John Pombe Magufuli kwa kuwakumbuka wakazi wa Longido kwa kuwajengea Hospitali ya wilaya itakayotatua matatizo mengi ya wilaya ikiwa ni pamoja umbali mrefu wa kufuata huduma za afya kama upasuaji hasa kwa akina mama wajawazito.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM