• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI LONGIDO KUTOKA MTO SIMBA

Posted on: September 21st, 2017

Na Johnson Ismail

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

     Serikali imedhamiria kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama Wilayani Longido kwa kuanzisha Mradi mkubwa wa maji kutoka katika chanzo cha Mlima Kilimanjaro hadi kufika katika makazi ya wananchi.

     Waziri Kasim Majaliwa Kasim Ameweka jiwe La msingi leo kwaniaba ya Dr.John Pombe Magufuli kwenye Mradi Mkubwa wa Maji wilayani Longido.

    Hatahivyo Mh.Kasim Majaliwa ameipongeza serikali ya awamu ya Tano kwa utekelezaji wa mradi huu kwani utawanufaisha wakazi wa longido kwa kiasi kikubwa, pia alimtaka Mhandisi Ramadhani Msiba kuongelea miradi ya Maji inayo endelea wilayani na kumambia hata Mhamisha hadi miradi yote itakapo kamilika kwani ni Mchapakazi vizuri.

     Aidha Mhandisi ramadhan msiba ameelezea  utekelezaji wa Mradi huu mkubwa kua umegawanyika katika miradi midogo midogo minne ,ambayo ni kutoka chanzo kikuu hadi Longido mjini,kinachogharimu jumla ya shilingi billioni10,890,000,000,Utekelezaji wa pili wa ni ukarabati wa matanki mawili makubwa yaliyopo Longido mjini na kupeleka maji katika kijiji cha Engikareti kitakachogharimu jumla ya shilingi bilioni 2,539,752,938.Utekelezaji wa tatu ni Ujenzi wa Tanki kubwa Longido mjini lenye ujazo wa lita laki 450 utakaogharimu kiasi cha shilingi 276,355,771.20 na mradi wa mwisho ni kusambaza mabomba kilomita 44.9 Longido mjini utakaogharimu shilingi bilioni 2,087,830,435.00.

    Vijiji vitakavyonufaika na mradi huo ni pamoja na Engikareti,Oltepes,Orbomba,Longido na Ranchi vyenye jumla ya idadi ya Wakazi elfu 29.

     Pia Mhandisi Msiba alitaja jumla kuu ya fedha zinazo gharim mradi huu hadi kukamilika  kwamba ni15,766,897,539660.  Mradi unatarajia kukamilika mwakani 2018 na ametaja miradi mingine inayo endelea vijijini ikiwa ni jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa maji Wilayami longido.




Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.