• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI LONGIDO KUTOKA MTO SIMBA

Posted on: September 21st, 2017

Na Johnson Ismail

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

     Serikali imedhamiria kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama Wilayani Longido kwa kuanzisha Mradi mkubwa wa maji kutoka katika chanzo cha Mlima Kilimanjaro hadi kufika katika makazi ya wananchi.

     Waziri Kasim Majaliwa Kasim Ameweka jiwe La msingi leo kwaniaba ya Dr.John Pombe Magufuli kwenye Mradi Mkubwa wa Maji wilayani Longido.

    Hatahivyo Mh.Kasim Majaliwa ameipongeza serikali ya awamu ya Tano kwa utekelezaji wa mradi huu kwani utawanufaisha wakazi wa longido kwa kiasi kikubwa, pia alimtaka Mhandisi Ramadhani Msiba kuongelea miradi ya Maji inayo endelea wilayani na kumambia hata Mhamisha hadi miradi yote itakapo kamilika kwani ni Mchapakazi vizuri.

     Aidha Mhandisi ramadhan msiba ameelezea  utekelezaji wa Mradi huu mkubwa kua umegawanyika katika miradi midogo midogo minne ,ambayo ni kutoka chanzo kikuu hadi Longido mjini,kinachogharimu jumla ya shilingi billioni10,890,000,000,Utekelezaji wa pili wa ni ukarabati wa matanki mawili makubwa yaliyopo Longido mjini na kupeleka maji katika kijiji cha Engikareti kitakachogharimu jumla ya shilingi bilioni 2,539,752,938.Utekelezaji wa tatu ni Ujenzi wa Tanki kubwa Longido mjini lenye ujazo wa lita laki 450 utakaogharimu kiasi cha shilingi 276,355,771.20 na mradi wa mwisho ni kusambaza mabomba kilomita 44.9 Longido mjini utakaogharimu shilingi bilioni 2,087,830,435.00.

    Vijiji vitakavyonufaika na mradi huo ni pamoja na Engikareti,Oltepes,Orbomba,Longido na Ranchi vyenye jumla ya idadi ya Wakazi elfu 29.

     Pia Mhandisi Msiba alitaja jumla kuu ya fedha zinazo gharim mradi huu hadi kukamilika  kwamba ni15,766,897,539660.  Mradi unatarajia kukamilika mwakani 2018 na ametaja miradi mingine inayo endelea vijijini ikiwa ni jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa maji Wilayami longido.




Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM