• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE WILAYANI LONGIDO

Posted on: March 20th, 2019

Kamati ya kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya wizara ya mifugo ,kilimo na maji leo tarehe 20/03/2019 wamefanya ziara ya ukaguzi wa miradi  mbalimbali ya maji na  mifugo  katika halmashauri ya Wilaya ya Longido.Ziara hii iliyoongozwa na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge katika wizara ya mifugo,kilimo na maji  Mheshimiwa Mohamood Mgimwa ilitembelea miradi mitatu ambayo ni

1: Mradi mkubwa wa maji wa mto simba uliogharimu shilingi za kitanzania billion 15 wenye uzo wa kuhudumia wakazi laki moja na nusu.Kisima cha maji kina uwezo wa kubebe lita laki nne na nusu ambazo zitaondoa kabisa adha ya maji  kwa wakazi  wote wa wilaya ya longido ambao wamekuwa wakiteseka kwa muda mrefu kwa sababu ya maji kwa ajili ya mifugo yao pamoja na matumizi yao binafsi.akizungumza katika ziara hiyo mwenyekiti wa kamati ya maji ambaye ni Mbunge wa Mufindi kaskazini Mh Mohamood Mgimwa amewaasa wananchi wa wilaya ya Longido kutunza miundo mbinu ya maji ili iweze kuwasaidia katika kukabiliana na ukosefu wa maji ,aidha amewaagiza wakandarasi wanao sambaza maji katika vijiji vyote wahakikishe wanawaondolea wananchi shida ya maji katika kila kijiji ambacho bomba la maji limepita ili wananchi wawe watunzaji wa miundo mbinu hiyo ya maji kwani itakuwa rahisi kwao kutunza.

2: Mnada wa kimkakati wa Mifugo wa Eworendeke wenye viwango vya kimataifa uliogharimu takribani million 700.

Kamati imeweza kutembelea mradi wa mnada wa Eworendeke uliojengwa na MIVAF ,Halmashauri ya longido pamoja na serikali kuu mradi huu ulianza mwaka 2016 ukiwa chini ya Halmashauri lakini mwaka jana 2018 serikali kuu kupitia wizara ya mifugo  ilikuja kwenye mnada huu na kuanza kukusanya mapato pamoja na Halmashauri Katika mnada huu kamati ilishauri wizara ya Mifugo kupitia kwa Naibu waziri Abdalah Ulega kuhakikisha inapunguza kodi ambayo kwa sasa ni shilling elfu 35 ambayo imekuwa kikwazo kikubwa sana kwa wafanya biashara wa ng’ombe wanaopeleka mifugo nchi jirani ya Kenya ili kuweza kurejesha wafanya biashara ambao wamekuwa wakitorosha mifugo yao kupeleka Kenya badala yake warudi kwenye mnada wa ndani waendelee kufanya biashara ili kuinua uchumi wa ndani .Aidha kwa upande mwingine kamati imeshauri Wizara ya Mifugo na serikali kuu kuangalia tena mgawanyo wa mapato ambao Wizara imekua ikichuwa fedha zote za makusanyo na kuacha Halmashauri na kiasi kidogo  ambapo kwa ngombe mmoja Wizara wanachukua shilling elfu 34000 na kuacha Halmashauri na shilingi elfu moja tuu.kamati imeshauri Wizara ikubali kugawana aslimia 50 kwa 50 na Halmashauri hii ambayo tegemeo lake kubwa ni mifugo ili iweze kupata mapato kwa ajili ya kuendesha ya Halmshauri, kamati ya bunge imeamua kulichukua swala hili ambalo ni kanuni ya wizara ya mifugo kama marekebisho yaweze kufanyika kwani ni wanancjhi ndio wanao umia ambao ndio lengo kuu la serikali kuwahudumia wao na sio kuwaumiza.

3: Kiwanda cha nyama wilaya ya longido yenye uwezo wa kuchinja ngombe 200-500 kwa siku pamoja na mbuzi  2000 kwa siku.katika ziara hii kamati ya bunge ilipokea taaarifa ya kiwanda kipya kabisa cha nyama hapa wilayani longido ambacho kinategemewa kuanza kazi rasmi mwezi october mwaka 2019 na kuajiri wanachi karibu mia nane na kupunguza kabisa tatizo la ajira kwa wakazi wa Longido na watanzania kwa ujumla.




                                                      

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM