• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

ZIARA YA MAFUNZO YA WAHESHIMIWA MADIWANI NA WATAALAMU TUNDUMA MKOANI SONGWE.

Posted on: September 15th, 2022

Waheshimiwa Madiwani na  baadhi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido  wamefanya Ziara ya mafunzo tarehe 15/9/2022 katika Halmashauri ya TUNDUMA na ziara hiyo ilihusu namna bora na yenye tija ya ukusanyaji mapato katika vyanzo mbali mbali vya halmashauri.

Waheshimiwa  madiwani na Wataalamu kwa kushirikiana na viongozi wa halmashauri ya Tunduma wametembelea miradi mbali mbali ikiwepo maegesho ya magari,ushuru wa mpakani, mashine ya kufyatulia tofali pamoja na shule ya msingi yenye mchepuo wa kingereza inayomilikiwa  na Halmashauri.

Mh.Mwenyeki  wa Halmashauri ya Longido Mh. Saimon Oltesoi  amewashukuru sana watumishi na madiwani wa Tunduma kwa namna  walivyotoa mafunzo hayo kwa weredi na ustadi mkubwa ambako ameahidi kufanyia kazi yale yote yalioelekezwa kwa lengo la kuongeza mapato katika halmashauri ya wilaya ya Longido

Pia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido ndg.Stephen Ulaya amewaomba watumishi pamoja na madiwani kusimamia na kutumia njia nzuri ya makusanyo ya mapato pamoja na kubuni vyanzo bora na vyenye tija katika kupandisha ama kuongeza mapato katika halmashauri"sasa ni wajibu na ni jukumu letu sisi kama halmashauri kuona haja ya kuongeza usimimizi wa mapato ndani ya halmashauri yetu ili kuisadia serikali kupata fedha zitakazo Saidia kuleta maendeleo kama shule hospital barabara maji,umeme hivyo basi niwaombe ndugu zangu tushirikiane kwenye kutekeleza jambo hili kwa maslah mapana ya nchi yetu"Alisema ndugu Stephen Ulaya

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.