• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA MAFUNZO YA WAHESHIMIWA MADIWANI NA WATAALAMU TUNDUMA MKOANI SONGWE.

Posted on: September 15th, 2022

Waheshimiwa Madiwani na  baadhi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido  wamefanya Ziara ya mafunzo tarehe 15/9/2022 katika Halmashauri ya TUNDUMA na ziara hiyo ilihusu namna bora na yenye tija ya ukusanyaji mapato katika vyanzo mbali mbali vya halmashauri.

Waheshimiwa  madiwani na Wataalamu kwa kushirikiana na viongozi wa halmashauri ya Tunduma wametembelea miradi mbali mbali ikiwepo maegesho ya magari,ushuru wa mpakani, mashine ya kufyatulia tofali pamoja na shule ya msingi yenye mchepuo wa kingereza inayomilikiwa  na Halmashauri.

Mh.Mwenyeki  wa Halmashauri ya Longido Mh. Saimon Oltesoi  amewashukuru sana watumishi na madiwani wa Tunduma kwa namna  walivyotoa mafunzo hayo kwa weredi na ustadi mkubwa ambako ameahidi kufanyia kazi yale yote yalioelekezwa kwa lengo la kuongeza mapato katika halmashauri ya wilaya ya Longido

Pia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido ndg.Stephen Ulaya amewaomba watumishi pamoja na madiwani kusimamia na kutumia njia nzuri ya makusanyo ya mapato pamoja na kubuni vyanzo bora na vyenye tija katika kupandisha ama kuongeza mapato katika halmashauri"sasa ni wajibu na ni jukumu letu sisi kama halmashauri kuona haja ya kuongeza usimimizi wa mapato ndani ya halmashauri yetu ili kuisadia serikali kupata fedha zitakazo Saidia kuleta maendeleo kama shule hospital barabara maji,umeme hivyo basi niwaombe ndugu zangu tushirikiane kwenye kutekeleza jambo hili kwa maslah mapana ya nchi yetu"Alisema ndugu Stephen Ulaya

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM