• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WILAYANI LONGIDO

Posted on: March 6th, 2023

Mheshimiwa dkt Festo John Dugange Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi Leo tarehe 6/03/2023 amefanya ziara katika miradi mbali mbali ikiwemo shule ya Sekondari Mundarara, kituo cha Afya cha Ketumbeine, Oworendeke, na kuhitimisha kwenye hospital ya Wilaya ya Longido ambako bado ujenzi wake unaendelea kwa baadhi ya majengo machache ili kukamilisha ujenzi huo.

Mheshimiwa Naibu waziri ameiagiza kamati ya wilaya pamoja na Kamati ya ulinzi na usalama wahakikishe  wanakamalisha miradi yote kwa haraka ili iweze kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wananchi.

Mheshimiwa naibu waziri pamoja na kutoa maelekezo kwa viongozi wa wilaya pia amesisitiza matumizi sahihi ya fedha zinazotolewa na Serikali hususani pesa za miradi zinatumika kwenye miradi iliyokusudiwa na serikali na si vinginevyo  na kukamilika  kwa muda uliopangwa.

Naye mkuu wa wilaya ya Longido ndugu Marko Henry Ng'umbi kwa niaba ya wananchi wa wilaya ya Longido ameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Uongozi wake Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuona ipo haja ya  kutoa fedha nyingi  kwenye miradi ya Afya pamoja na shule ili iweze kuwasaidia wananchi wa wilaya ya Longido ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakipata changamoto za huduma hizo muhimu.

"Kwa kipindi kirefu wananchi wa wilaya ya Longido  imewalazimu kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo muhimu. Uwepo wa hospital hizi zitawasaidia sana wananchi wote wa Wilaya yangu hasa kina mama ambao wamekuwa wakiteseka kwa muda mrefu mahala pazuri na salama pakujifungulia sasa serikali imewesogezea huduma ya mama na mtoto kwa karibu hivyo nadhahiri kuwa kina mama wote watapata huduma bora za kujifungua bila tatizo lolote kwa usawa na usalama zaidi"Alisema mkuu wa wilaya.

Sambamba na hilo mheshimiwa mkuu wa wilaya ameahidi kutekeleza na kufuatilia kwa karibu ukamilishwaji wa baadhi ya miradi yote yenye changamoto na kuahidi kukamilisha kwa wakati na muda uliowekwa, pia amemshukuru Naibu waziri Dkt Festo John Dugange . Kwa kuridhia kutembelea miradi iliyopo Wilayani humo kwani itasaidia na kuongeza chachu na hali ya ukamilishwaji wa miradi kama ilivyo pangwa.

kwa ziara hii Mheshimiwa naibu waziri wananchi wa wilaya ya Longido na vitongoji vyake inatambua kuwa serikali ipo karibu na wananchi wake hususani wa jamii hii ya wafugaji.

Tunaomba utufikishie salamu zetu za dhati kabisa kwa Rais wetu Mama yetu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza na kuipa kipaumbele wilaya yetu, zaidi sana tunakuomba Mheshimiwa Naibu Waziri usichoke kuja kututembelea mara tu upatapo nafasi"Alihitimisha kwa kusema hayo ndugu Simon Oltosoi Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Longido. 

*Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kazi iendelee*

Matangazo

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • MACHAGUO KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO KIDATO CHA SITA LONGIDO July 10, 2021
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI YA SIASA YA MKOA YATUA LONGIDO

    March 23, 2023
  • MGAO WA PIKIPIKI KWA WATENDAJI WA KATA LONGIDO

    March 11, 2023
  • ZIARA YA NAIBU WAZIRI WILAYANI LONGIDO

    March 06, 2023
  • MDIWANI WAWASILISHA TAARIFA ZA ROBO YA PILI .

    February 01, 2023
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM