Posted on: March 14th, 2019
Halmashauri ya wilaya ya longido leo tarehe 14.03.2019 wamefanya kikao katika ukumbi wa Halmashauri na kuweka mikakati ya kuhakikisha unyanyasaji wa wanawake na watoto wadogo unakomeshwa. ...
Posted on: March 8th, 2019
Asilimia 95% ya wananchi wa wilaya ya longido ni wafugaji wa ngombe ,mbuzi,kondoo na punda,mbwa,ngamia,kuku na nguruwe.
Idadi ya mifugo katika wilaya ya Longido ni Ng’ombe 216,575, Mbuz...
Posted on: February 27th, 2019
Kamati ya Fedha na Mipango Halmashauri ya Longido leo tarehe 27/02/2019 imehitimisha ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kumi na tano (15) kwa robo ya pili ya mwaka wa Fedha 2018/2019 ...