• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Mabadiko ya Hali ya Hewa Tabianchi

Start Date: 2017-02-01
End Date: 2021-07-01

MIRADI YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA NA TABIANCHI ILIYOPITISHWA KUTEKELEZWA KATIKA TARAFA ZA WILAYA YA LONGIDO.


1.TARAFA YA KETUMBEINE

i)Kutoa Maji chanzo cha Ilorienito kwenda Kijiji cha Losirwa. Kuweka DP moja na ujenzi wa cattle trough moja.

ii)Ujenzi wa Zahanati Magadini

iii)Upatikanaji wa maji Kijiji cha Alaililai

iv)Ujenzi wa majiko sanifu katika vijiji vyote vya Kata za Gelai Lumbwa, Ketumbeine na Noondoto

v)Ujenzi wa makinga maji, utoaji wa mbegu za muda mfupi, mbegu za mihogo, mtama mweupe Vijiji vya Merugoi, Loondolwo, Losirwa, Ilorienito, Naadare

vi)Upandaji wa Miti Kijiji cha Olchoronyokie



2.TARAFA YA ENDUIMET

i)Kijiji cha Leremeta -  Kuongeza Mtandao wa Maji na ujenzi wa cattle trough moja

ii)Kijiji cha Ngereyani – kuongeza Mtandao wa Maji kutoka Ngereyani kwenda kitongoji cha Ngobeni

iii)Ukarabati wa Josho la Kijiji cha Lerangwa

iv)Ujenzi wa kibanio Kijiji cha Irkaswa

v)Ujenzi wa kibanio Kijiji cha Olmolog

vi)Mradi wa Ujenzi wa Ghala Kijiji cha Oldonyo


3.TARAFA YA ENGARENAIBOR

i)Ujenzi wa ghala moja la kuhifadhia chakula Kata ya Engarenaibor

ii)Kuhifadhi vyanzo vya maji katika Kata za Engarenaibor, Mundarara na Matale

iii)Kuboresha maabara ya mifugo na kuweka vifaa Kata ya Engarenaibor

iv)Kuchimba Kisima kirefu (borehole) Matale “B”

v)Kuchimba Kisima kirefu Kijiji cha Orpurkel, Mundarara

vi)Kuboresha nyanda za malisho kwa kuondoa magugu vamizi na kusia mbegu za majani


4.TARAFA YA LONGIDO

i)Uendelezaji wa Bwawa la Kiserian kwa kujenga uzio, cattle trough, tanki, na Kituo kimoja cha Maji  

ii)Ujenzi wa Uzio, goat & sheep trough na Kituo kimoja cha maji Bwawa la Engikaret

iii)Kukarabati Josho la Eorendeke

iv)Ujenzi wa Tanki kwa ajili ya umwagiliaji Kijiji cha Kimokouwa

v)Ukarabati wa Visima virefu viwili Namanga.

vi)Kuvuta Maji kutoka kisima kipya hadi Lalamok Kijiji cha Orbomba

vii)Kuvuta maji kutoka kituo cha Orbomba kwenda kijiji cha Ranchi


5.MIRADI NGAZI YA WILAYA

i)Kuanzisha radio ya Jamii Wilaya Longido

ii)kuweka vipima mvua katika kila Kata

iii)Kuanzisha mashamba darasa ya malisho ya mifugo katika kila tarafa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.