• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Agriculture and corperation







Mkuu wa Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika(MR.KASIGA)

Halmashauri ya Wilaya

LONGIDO

ARUSHA

Kilimo ni uti wa mgongo katika Uchumi wa nchi ya Tanzania. Kinachangia kwa asilimia 95% kwa mahitaji ya chakula kwa Nchi. Wilaya ya Longido ina jumla ya Kilomita za Mraba 7, 782, sawa na Hekta 778,200.

Katika Wilaya kuna  skimu 2 za umwagiliaji ambazo zinatumiwa na wakulima wadogowadogo. Ukarabati wa Skimu hufanyika kupitia fedha zilizotengwa kwa mwaka wa fedha husika.

Eneo linalofaa kwa kilimo katika Halmashauri ni hekta 36,578 sawa na asilimia 9.4% lakini eneo linalolimwa kwa sasa ni hekta 29,223 sawa na asilimia 3.76%. Eneo linalofaa kwa umwagiliaji ni hekta 1700 na linalomwagiliwa kwa sasa ni hekta  840.Vijiji vinavyojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji ni Tingatinga na Ngereyani. Katika Wilaya kuna  skimu 2 za umwagiliaji ambazo zinatumiwa na wakulima wadogowadogo.

Kuna mto 1 (Mto simba) unaotokea katika miteremko ya Mlima Kilimanjaro na maji hutumika kwa umwagiliaji na matumizi ya nyumbani.

Maeneo yenye kilimo:

  • Kilimo huendeshwa kwenye maeneo ya Milimani (uwanda wa juu) ambako ni Kata za Elang’atadapash, Ilorienito, Gelai meirugoi na Gelai lumbwa.
  •  Uwanda wa chini, ambako ni Kata za Engarenaibor, Mundarara na Matale
  • Maeneo yote magharibi mwa Mlima Kilimanjaro,Kata za Kamwanga, Olmolog na Tingatinga.

Ukanda wa milimani na magharibi mwa Mlima Kilimanjaro hupata mvua za wastani wa Milimita 500 hadi 900 kwa mwaka na Uwanda wa chini milimita 500 hadi 800 kwa mwaka.

Mazao yanayostawishwa ukanda wa milimani ni:

  • Mahindi, Viazi Mviringo na maharage

Kwa upande wa magharibi mwa Mlima Kilimanjaro mazao ni:

  •  mahindi, maharage, viazi mviringo, Karoti, Njegere, nyanya, vitunguu na ngano

Na uwanda chini mazao ni mahindi na maharage.

Shughuli zinazofanyika katika Sekta ya Kilimo:

  1. Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu mbinu mbalimbali za kilimo bora ili kuongeza kipato cha Mkulima na Taifa kwa ujumla na zoezi hili hufanyika kwa kupitia Maafisa Ugani Kata na Vijiji.

Mbinu hizo ni pamoja na:

  • Kuanzisha mashamba darasa kwa mazao ya chakula, biashara na yanayostahimili ukame kwa maeneo yote ya kilimo.
  • Kusambaza na kusimamia matumizi sahihi ya Pembejeo za kilimo kwa wakulima.
  • Kuhamasisha wakulima kuunda vikundi vya wakulima ili kupata mikopo ya masharti nafuu kutoka Taasisi za Kifedha.
  • Halmashauri pia imenunua matrekta madogo,Power tillers 5 na kuzigawa kwa vikundi vitano ili kuongeza tija kwa wakulima.
  • Kutatua migogoro ya watumia maji kijiji cha Ngereyani na Wilaya ya Meru,kijiji cha Ngabobo ili wakulima waendelee kunufaika na kilimo cha umwagiliaji.
  • Kujenga na kukarabati mifereji ya umwagiliaji ya asili ili kuongeza tija kwa wakulima.
  • Kufanya utafiti wa udongo na mazao kwa maeneo mbalimbali kwa kushirikiana na Taasisi za Utafiti SARI na ASA lengo ni kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
  • Kuwajengea uwezo maafisa ugani kwa kupitia mafunzo na kuwapatia vitendea kazi,hasa usafiri.
  • Kutoa elimu ya uhifadhi wa mazao kwa wakulima na wafugaji na Idara imenunua vihenge 16 vya mifano kwa kupitia fedha za DADPs na kuvitawanya kwa Kata mbalimbali ili wananchi wajifunze namna ya kuhifadhi mazao ya nafaka.
  • Kujenga na kukamilisha vituo 5 vya mafunzo kwa wakulima na wafugaji (Ward Agricultural Resource Center) WARS kwa Kata 5 kwa lengo la kuboresha huduma za Ugani kwa wakulima. `
  • Kuendelea kushirikiana na Wadau mbalimbali wa maendeleo kwa Sekta ya Kilimo waliopo ndani na nje ya Wilaya ili kupambana na changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima.(iied, LCDO, PWC, TRIAS, OIKOs na Child reach Tanzania)etc.

KITUO CHA RASILIMALI YA KILIMO NA MIFUGO - OLMOLOG

IRRIGATION WATER INTAKE NGEREYANI SCHEME

MAIN CANAL NGEREYANI IRRIGATION SCHEME

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA June 10, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YATOA VIPAJI KUUNDA TIMU YA MKOA KWENYE MASHINDANO YA UMISSETA

    June 06, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAPELEKA TIMU YA UMITASHUMTA KATIKA MASHINDANO YA MKOA ARUSHA 2025

    May 28, 2025
  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM