• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Utalii

Wilaya ya longido ni moja ya wilaya za mkoa wa Arusha iliyobarikiwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii.

  • Uwepo wa spishi mbalimbali za wanyamapori:
  • Wilaya ya Longido imezungukwa na hifadhi kubwa za wanyamapori ambazo kama pori la akiba la pololeti, hifadhi ya taifa ya Arusha (ANAPA), hifadhi ya taifa Kilimanjaro (KINAPA), hifadhi ya taifa ya amboseli ya nchini kenya na hifadhi za jamii ya upande wa Kenya katika eneo la mpaka wa kimataifa wa kenya na tanzania.
  • Uwepo wa hifadhi tajwa hapo juu, inayofanya sehemu kubwa ya wilaya ya Longido kuwa kama ni sehemu ya mapito ya wanyamapori kutoka magharibi kwenda mashariki na kinyume chake, kusini kwenda kaskazini na kinyume chake.
  • Wanyamapori aina mbalimbali wanapatika katika meneo yote ya Wilaya kiasi kwamba wanafika hadi kwenye makazi ya watu kutafuta mahitaji yao na wakati mwingine kwa kupita tu na kufanya utalii kuwa wa gharama ndogo katika Wilaya yetu. kwa maneno mengine, hali kama hii, inafungua fursa kubwa ya utalii wa picha kwa gharama ndogo (photographic tourism) na uwindaji wa kitalii kupitia kampuni zilizoingia mikataba ya uwekezaji na wizara ya maliasili na utalii ambapo kwa sasa wilaya yetu ina jumla ya vitalu 7 vya uwindaji vyenye wawekezaji.
  • Mbuga ya engasurai ndani ya eneo la jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori Enduimet ni kama Serengeti ndogo ambapo utaweza kutazamaza makundi mbalimbali ya wanyamapori kama twiga, pundamilia, nyumbu, swala granti, swala thomi, swala twiga, digidgi, bweha,tembo na ndege wakubwa kama mbuni (ostrich), tandawala (cori bustard) na ndege sekretari (secretary bird). kwa safari za kutazama ndege na kufanya utafiti, longido ndio pemyewe.
  • Uwepo wa spishi za aina mbalimbali za ndege:
  • Wilaya ya Longido imebarikiwa kuwa na spishi za aina mbalimbali za ndege na kuifanya wilaya yetu kuwa kivutio kikubwa cha utalii kupitia matembezi ya kutazama ndege na utafiti.
  •  
  • Ziwa natron kama kivutio cha utalii:
  • Ziwa natron ni mojawapo ya vivutio vya kipekee vya utalii katika wilaya za longido kutokana na sifa za kipekee za kijiolojia, kiikolojia na kitamaduni.
  • Mazalia ya flamingo: ziwa hili ni eneo muhimu duniani kwa mazalia ya ndege aina ya heroe wadogo (lesser flamingo) kutokana na mazingira yake ya chumvi na alkalini yanawezesha ukuaji wa viumbe hai wa majini wanaowategemewa na flamingo kama chakula. uwepo wa heroe wadogo katika ziwa hili, huwavuta watalii wapenda ndege kufika eneo hilo kwa ajili ya utazamaji na kupiga picha.
  • Mandhari ya asili ya kipekee: maji ya ziwa natron hubadilika rangi kuwa nyekundu au waridi kutokana na hali ya kemikali na viumbe wa majini, hali inayovutia watalii kutembelea maeneo hayo kujionea na kupiga picha.
  • Utalii wa ikolojia: katika eneo la ziwa natron na Misitu ya Hifadhi ya Ketumbeine na Gelai watalii huweza kufanya matembezi ya asili, kuangalia nyayo za binadamu wa kale zilizoganda kwenye lava na kufurahia mazingira ya kipekee ya ziwa na mazingira yanayolizunguka.
  • Mlima wa volkano wa Oldoinyo Lengai: mlima huu, una volcano hai iliyopoa. wageni wengi hufika eneo hilo kupanda kwa ajili ya kujionea maajabu ya kijiolojia.
  •  Utalii wa kitamaduni: katika wilaya ya Longido, inaishi jamii ya kimaasai ambayo imehifadhi utamaduni wake kwa muda mrefu. watalii hupata fursa ya kujifunza tamaduni za wamasai kwa kushiriki shughuli za jadi, kutembelea boma, na kujifunza kuhusu maisha yao ya kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.