• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Miradi iliyokamilika

JEDWALI LA MIRADI ILIYOKAMILIKA – HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO (ROBO YA NNE, 2024/2025)

A. Miradi kwa Fedha za Bakaa (2023/2024)

S/N
Idara
Jina la Mradi
Kiasi (Tsh)
Chanzo
Hali ya Utekelezaji
1
Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Ujenzi wa choo – Soko la Ketumbeine
8,000,000
Mapato ya Ndani
Mradi umekamilika
2
Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Ujenzi wa choo – Soko la Engarenaibor
8,000,000
Mapato ya Ndani
Mradi umekamilika
3
Elimu Msingi
Ununuzi wa madawati 26 – Shule ya KALE
2,600,000
Mfuko wa Jimbo
Umekamilika; madawati yanatumika
4
Afya, Ustawi Jamii na Lishe
Ujenzi wa vyoo 5 + vifaa – Zahanati ya Namanga
45,000,000
SRWSS
Mradi umekamilika
5
Afya, Ustawi Jamii na Lishe
Ujenzi wa vyoo 5 + vifaa – Zahanati ya Kimokouwa
45,000,000
SRWSS
Mradi umekamilika
6
Afya, Ustawi Jamii na Lishe
Kichomea taka – Hospitali ya Wilaya
65,000,000
SRWSS
Kimenunuliwa, sehemu umekamilika
7
Elimu Msingi
Vyoo 16 + mnara + tanki – Shule ya Engikareti
47,148,460
SRWSS
Umekamilika; marekebisho madogo yamefanyika
8
Elimu Msingi
Vyoo 17 + mnara + tanki – Shule ya Namanga
49,756,000
SRWSS
Mradi umekamilika
9
Afya, Ustawi Jamii na Lishe
Vyoo 5 + vifaa – Zahanati Engikaret
45,000,000
SRWSS
Mradi umekamilika
10
Elimu Msingi
Nyumba ya watumishi – Kimwati
92,410,106
TASAF
Umekamilika na inatumika
11
Elimu Msingi
Nyumba ya watumishi – Endirima
92,410,106
TASAF
Umekamilika na inatumika
12
Afya, Ustawi Jamii na Lishe
Nyumba ya watumishi – Zahanati Olchoronyokie
92,410,106
TASAF
Mradi umekamilika
13
Elimu Msingi
Nyumba ya watumishi – Emesera
92,410,106
TASAF
Umekamilika na inatumika
14
Elimu Sekondari
Bweni – Sekondari Mundarara
155,827,000
TASAF
Mradi umekamilika
15
Elimu Msingi
Madarasa 2 + vyoo 6 – Shule ya Kitarini
71,100,000
BOOST
Mradi umekamilika
16
Elimu Sekondari
Nyumba ya walimu – Sekondari Kamwanga
98,000,000
SEQUIP
Mradi umekamilika
17
Elimu Sekondari
Shule mpya – Sekondari Kimokouwa
584,280,029
SEQUIP
Mradi umekamilika
18
Elimu Sekondari
Mabweni 2, madarasa 4 + vyoo 10 – Sekondari Sinya
378,000,000
SEQUIP
Mradi umekamilika
19
Elimu Msingi
Umaliziaji nyumba walimu – Jeodong Engasurai
18,799,140
Mapato ya Ndani
Umekamilika; kazi za ziada zinaendelea

B. Miradi kwa Mapato ya Ndani (20%)

S/N
Idara
Jina la Mradi
Kiasi (Tsh)
Chanzo
Hali ya Utekelezaji
1
Maendeleo ya Jamii
Mikopo – Vikundi Wanawake, Vijana, Wenye Ulemavu
159,646,000
Mapato ya Ndani
Mikopo imetolewa kwa walengwa
2
Elimu Sekondari
Kisima cha maji – Sekondari Mundarara
15,000,000
Mapato ya Ndani
Mradi umekamilika
3
Elimu Msingi
Matundu 10 vyoo – Shule ya Msingi Matale
10,000,000
Mapato ya Ndani
Vifaa viko kwenye eneo la mradi
4
Afya, Ustawi Jamii na Lishe
Ukarabati mionzi – Kituo Afya Ketumbeine
15,000,000
Mapato ya Ndani
Jengo limekamilika na linatumika
5
Utawala
Malipo madeni miradi ya maendeleo
34,794,000
Mapato ya Ndani
Madeni yamelipwa kwa kiasi kikamilifu
6
Utawala
Gari la Halmashauri
22,400,000
Mapato ya Ndani
Gari limenunuliwa na linatumika
7
Utawala
Ukamilishaji Ofisi Kijiji Armanie
10,000,000
Mapato ya Ndani
Upigaji rangi umekamilika
8
Elimu Sekondari
Ukamilishaji bwalo – Sekondari Longido Samia
350,000,000
Mapato ya Ndani
Ujenzi upo hatua ya mwisho
9
Elimu Msingi
Nyumba ya watumishi 3 in 1 – Shule ya Irkaswa
20,000,000
Mapato ya Ndani
Kazi imekamilika
10
Elimu Msingi
Madarasa 2 – Shule ya Engarenaibor
15,500,000
Mapato ya Ndani
Kazi kubwa imekamilika


Jumla ya Miradi Iliyokamilika: 29 Miradi
(19 kutoka fedha za bakaa + 10 kutoka mapato ya ndani)


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WILAYA YA LONGIDO WATOA TAMKO JUU YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI

    October 23, 2025
  • WANAFUNZI 5,188 KUFANYA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE LONGIDO

    October 21, 2025
  • WWF YADHAMIRIA KUREJESHA MAZINGIRA ASILIA YA LONGIDO

    October 20, 2025
  • MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA MAFUNZO YA WWF KWA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA LONGIDO

    October 16, 2025
  • View All

Video

KAMATI YA AMANI NA HAKI WILAYANI LONGIDO YATOA TAMKO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.