• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Viwanda, Biashara na Uwekezaji

IDARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI

LENGO KUU

Kuratibu na kuweka mazingira rafiki kwa maendeleo ya viwanda, biashara, masoko, na uwekezaji ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido.

MAJUKUMU YA IDARA

Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji inatekeleza majukumu yafuatayo:

  • Kuratibu utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu zinazohusiana na viwanda, biashara, masoko na uwekezaji.
  • Kukuza viwanda, biashara, masoko na uwekezaji katika Halmashauri.
  • Kupanga na kuendeleza maeneo ya viwanda na hifadhi kwa kushirikiana na wadau wakuu.
  • Kupanga vivutio vya viwanda, biashara, masoko na kukuza uwekezaji.
  • Kukuza maendeleo ya Biashara Ndogo na za Kati (SMEs).
  • Kuendeleza mapendekezo na miradi ya uwekezaji.
  • Kuendeleza hatua za maendeleo ya sekta binafsi.
  • Kuanzisha na kusimamia kanzidata ya viwanda, biashara, masoko na uwekezaji.
  • Kusimamia kituo kimoja cha biashara (One Stop Business Centre).
  • Kufanya utafiti wa kukuza uwekezaji.
  • Kuratibu Jukwaa la Biashara la Wilaya.
  • Kusimamia shughuli za minada na masoko ndani ya Halmashauri.
  • Kutekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Biashara kwa wafanyabiashara wadogo na watoa huduma.
  • Kuweka mazingira bora ya biashara na uwekezaji kwa ajili ya ukuaji wa uchumi.

MUUNDO WA IDARA

Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji inaongozwa na Mkuu wa Idara na inajumuisha sehemu mbili kuu:

  1. Sehemu ya Maendeleo ya Viwanda na Uwekezaji
  2. Sehemu ya Biashara na Masoko

1. SEHEMU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA UWEKEZAJI

Sehemu hii inahusika na shughuli zifuatazo:

  • Kuratibu utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za sekta ya viwanda na uwekezaji.
  • Kukuza na kuratibu ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi.
  • Kutenga, kuendeleza na kufuatilia maeneo ya viwanda na hifadhi.
  • Kutoa ushauri juu ya uboreshaji wa sera za viwanda na kuratibu mikutano ya kisekta.
  • Kukuza uzalishaji wa malighafi kwa matumizi ya viwandani.
  • Kutayarisha na kutunza rejista za viwanda na vitega uchumi.
  • Kupanga na kukadiria ushuru kwa viwanda vidogo.
  • Kuendeleza na kupitia upya wasifu wa uwekezaji.
  • Kukuza uwekezaji kutoka sekta binafsi.
  • Kuratibu na kutoa ushauri kwa wawekezaji.
  • Kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji.

Sehemu hii inaongozwa na Afisa Mfawidhi.

2. SEHEMU YA BIASHARA NA MASOKO

Sehemu hii inatekeleza majukumu yafuatayo:

  • Kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za biashara na masoko.
  • Kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa jamii ya wafanyabiashara.
  • Kuratibu na kutoa ushauri kuhusu usajili wa biashara.
  • Kuchambua taarifa za biashara na masoko na kutoa ushauri stahiki.
  • Kuratibu kongamano la Baraza la Biashara la Wilaya.
  • Kukuza ubia kati ya sekta binafsi na sekta ya umma.
  • Kusimamia shughuli za minada na masoko ndani ya Halmashauri.
  • Kukusanya na kusambaza taarifa za masoko ya bidhaa na huduma.
  • Kutekeleza mkakati wa kukuza biashara kwa wachuuzi wadogo na watoa huduma ndogo.
  • Kuweka mazingira bora ya biashara ndani ya Wilaya.

Sehemu hii pia inaongozwa na Afisa Mfawidhi.

WATUMISHI WA IDARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI

1. Rajabu Mmunda

2. Ray Elimuu

3. Paulo Parmet

4. Saleh Mondoma

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.