• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu

Idara ya Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido imekuwa kiungo muhimu katika kusimamia rasilimali watu, kuweka mifumo ya utawala bora, na kuhakikisha watumishi wa umma wanatoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia maadili ya kazi, ufanisi, na uwajibikaji.

Majukumu Makuu ya Idara ya Utawala na Utumishi

  1. Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Kuandaa mahitaji ya ajira kulingana na mahitaji ya idara.
    • Kuendesha mchakato wa ajira mpya kwa mujibu wa kibali kutoka TAMISEMI na Sekretarieti ya Ajira.
    • Kufuatilia maendeleo ya watumishi kazini na kuhifadhi taarifa zao.
  2. Kuratibu Mafunzo kwa Watumishi
    • Kuandaa mipango ya mafunzo ya muda mfupi na mrefu.
    • Kufuatilia watumishi waliopo masomoni.
    • Kuwezesha uboreshaji wa taaluma na ufanisi kazini.
  3. Kusimamia Nidhamu Kazini
    • Kushughulikia masuala ya kinidhamu ya watumishi kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.
    • Kutoa miongozo ya nidhamu, maadili, na uadilifu kazini.
  4. Kurahisisha Mawasiliano ya Ndani
    • Kusimamia shughuli za kila siku katika ofisi ya Mkurugenzi.
    • Kuratibu vikao vya menejimenti, baraza la madiwani na vikao vya kamati za kudumu.
  5. Usimamizi wa Usalama, Ulinzi na Itifaki
    • Kuratibu shughuli za walinzi wa ofisi.
    • Kuratibu mapokezi ya viongozi wa kitaifa na wageni mbalimbali.
  6. Usimamizi wa Ofisi, Nyaraka na Posta
    • Kusimamia mfumo wa mapokezi na usambazaji wa barua.
    • Kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka za halmashauri.
    • Kusimamia upokeaji wa vifaa na usafi wa majengo.
  7. Kusimamia Uboreshaji wa Mazingira ya Kazi
    • Kuwezesha huduma za usafi, matengenezo ya ofisi, na mazingira rafiki kwa utendaji bora wa kazi.

Seksheni Zilizopo Kwenye Idara ya Utawala na Utumishi

Idara hii imegawanyika katika seksheni kuu nne (4), kila moja ikiwa na majukumu maalum:

1. Seksheni ya Utumishi wa Umma

  • Inaratibu ajira mpya, uhamisho, upandishaji vyeo, uthibitisho kazini, na mafao ya kustaafu.
  • Inasimamia kanzidata ya taarifa za watumishi (HRMIS).
  • Inaratibu tathmini ya utendaji kazi (PEPMIS).

2. Seksheni ya Mafunzo na Maendeleo ya Watumishi

  • Inaratibu mipango ya mafunzo ya kitaaluma.
  • Inasimamia masomo ya muda mrefu na wa muda mfupi.
  • Hutoa vibali vya mafunzo na kuratibu marejeo ya watumishi waliomaliza masomo.

3. Seksheni ya Utawala wa Ofisi

  • Inasimamia huduma za kiofisi kama usafi, ulinzi, mapokezi na usambazaji wa nyaraka.
  • Inaratibu shughuli za uendeshaji wa ofisi ya mkurugenzi.
  • Inahakikisha utunzaji wa nyaraka na vifaa vya ofisi.

4. Seksheni ya Usalama, Itifaki na Mawasiliano ya Ndani

  • Inaratibu mapokezi ya viongozi na wageni rasmi.
  • Inasimamia itifaki za halmashauri.
  • Inashughulikia ulinzi wa majengo ya serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.