• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Miradi inayoendelea

A. Miradi Inayoendelea kwa Fedha za Bakaa ya 2023/2024

Na
Idara
Jina la Mradi
Status ya Utekelezaji
1
Kilimo
Ujenzi wa choo – Soko la Gelai Meirugoi
Upo hatua ya umaliziaji – marekebisho ya ukuta na paa
8
Elimu Msingi
Ujenzi wa vyoo 16 – Shule ya Msingi Engikareti
Hatua ya umaliziaji – tiles, sehemu ya kunawia mikono, mlango
11
Afya
Ufuatiliaji wa miradi ya SRWSS
Kazi inaendelea
13
Elimu Msingi
Nyumba ya walimu – Jeodong Engasurai
Nyumba imekamilika, bado uchimbaji wa mashimo ya maji taka
17
Elimu Sekondari
Ujenzi wa bweni – Shule ya Sekondari Sinya
Kazi inaendelea – hatua ya upigaji rangi
19
Elimu Sekondari
Ujenzi wa bweni – Enduimet
Kazi inaendelea – hatua ya upigaji rangi
20
Elimu Msingi
Nyumba ya walimu – Imatiani
Kazi inaendelea – ufunikaji wa mashimo ya maji taka
21
Afya
Zahanati – Kijiji cha Sinonik
Kazi inaendelea – uwekaji wa mfumo wa umeme
22
Afya
Zahanati – Kijiji cha Magadini
Kazi inaendelea – uwekaji wa vifaa vya umeme na maji
23
Afya
Nyumba ya watumishi – Zahanati ya Esokonoi
Kazi inaendelea – upakaji rangi, uwekaji wa vigae, kufunika shimo
30
Elimu Sekondari
Shule ya Sekondari Longido Samia
Kazi inaendelea – fedha zimekwisha, makadirio ya umaliziaji yamewasilishwa OR-TAMISEMI
33
Elimu Msingi
Umaliziaji wa madarasa – Shule ya Laalaroi
Kazi inaendelea – hatua ya ukamilishaji

B. Miradi Inayoendelea kwa Fedha za Mapato ya Ndani (Own Source Dev. 20%)

Na
Idara
Jina la Mradi
Status ya Utekelezaji
2
Afya
Shughuli za lishe
Utekelezaji unaendelea – mikopo kwa awamu
5
Afya
Umaliziaji wa nyumba – Kituo cha Afya Eworendeke
Kazi inaendelea – uwekaji wa aluminium na tiles
6
Afya
Jengo la Mama na Mtoto – Zahanati ya Irkaswa
Kazi inaendelea – hatua ya ujazaji kifusi kwenye msingi
7
Elimu Msingi
Nyumba ya watumishi – Irkaswa
Kazi inaendelea – plasta ya magebo ya mbele na nyuma
8
Utawala
Ukamilishaji wa Ofisi – Kijiji cha Armanie
Kazi inaendelea – upigaji wa rangi
12
Utawala
Ukarabati – Ofisi ya kata E/Dapash
Mchakato wa utoaji wa fedha unaendelea
14
Elimu Msingi
Vyoo 10 – Shule ya Matale
Kazi inaendelea – hatua ya lenta, vifaa vipo eneo la mradi
16
Elimu Msingi
Madarasa 2 – Engarenaibor
Kazi inaendelea – hatua ya upauzi
17
Elimu Msingi
Madarasa 2 – Olmolog
Kazi inaendelea – uwekaji wa marumaru
18
Elimu Msingi
Madarasa 2 – Engikaret
Kazi inaendelea – hatua ya finishing: rangi na tiles
20
Elimu Sekondari
Ukamilishaji wa bwalo – Longido Samia
Kazi inaendelea – hatua za umaliziaji

Idadi ya miradi inayoendelea:

  • Fedha za bakaa: 13 miradi
  • Mapato ya ndani: 11 miradi
    Jumla: 24 miradi inayoendelea

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.