• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TEHAMA

MAELEZO YA KITENGO CHA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)

MWAKA WA FEDHA: 2025

Kitengo hiki kina majukumu ya kusimamia utekelezaji wa kazi za Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido. Majukumu yake ni pamoja na kuratibu huduma zote za TEHAMA kwa idara zote za Halmashauri pamoja na taasisi nyingine za serikali zilizopo ndani ya Halmashauri kama vile TASAF, Mamlaka ya Maji, Ukaguzi wa Shule, n.k.

MGAWANYIKO WA MAJUKUMU YA KITENGO CHA TEHAMA

Kitengo cha TEHAMA kinatekeleza majukumu yaliyogawanyika katika maeneo yafuatayo:

1. Usimamizi wa Sera, Miongozo na Mipango

  • Kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo inayohusu TEHAMA kutoka Serikali Kuu.
  • Kuandaa Mpango Mkakati wa TEHAMA wa Halmashauri.
  • Kuandaa Miongozo na Taratibu kwa matumizi salama ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

2. Matengenezo na Usimamizi wa Miundombinu

  • Kutengeneza na kutekeleza mpango wa matengenezo ya vifaa vya TEHAMA (Preventive and Corrective Maintenance Plan) kwa mwaka wa fedha husika.
  • Kutathmini na kusimamia hatari na changamoto kwenye miundombinu ya TEHAMA pamoja na mifumo ya usimamizi wa taarifa.

3. Ushauri wa Kitaaluma na Ujenzi wa Uwezo

  • Kutoa ushauri kwa Mkurugenzi kuhusu masuala ya TEHAMA na utekelezaji wa dhana ya Serikali Mtandao.
  • Kufanya tathmini ya mahitaji ya mafunzo kwa watumishi na kuandaa mpango wa kujenga uwezo wa TEHAMA.
  • Kusimamia na kuratibu kazi za kitaaluma zinazohusu TEHAMA katika Vitengo na Idara mbalimbali.

4. Mifumo ya Habari na Usalama wa Taarifa

  • Kusimamia na kuboresha mifumo ya taarifa ya Halmashauri pamoja na usimamizi wa usalama wa taarifa.
  • Kuandaa sera ya TEHAMA ya Halmashauri na kuhakikisha utekelezaji wake unazingatia viwango vya kitaifa.
  • Kutoa viwango na ushauri juu ya ununuzi, usimikaji na matumizi ya vifaa vya TEHAMA kulingana na miongozo ya serikali.


WATUMISHI WA KITENGO

1.Zaina R. Mzee - Mkuu wa Idara

2.Musa M. Simtenda - Afisa TEHAMA

3.Kelvin I. Mwashambwa - Afisa TEHAMA

4. John Mhando - Afisa TEHAMA



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.