• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uchumi, Ujenzi na Mazingira

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ni Kamati inayoshughulika na masuala ya uzalishaji mali ikiwemo Kilimo, Mifugo, Viwanda, Madini, Biashara pamoja na Miundombinu na suala zima la Maendeleo ya Ardhi na hifadhi ya Mazingira.

 

kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo

kupendekeza mipango ya matumizi ya Ardhi katika Halmashauri

kusimamia matumizi ya Sheria ya Nguvu kazi

kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi wa Maendeleo ya Kilimo

kusimamia na kuhakiki miradi ya Ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya Mifugo

kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika

kupendekeza mipango ya Ujenzi au upanuzi wa Vituo, viwanja, majengo na Mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo

kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri

kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa Nyaraka muhimu kwa ajili ya Kumbukumbu kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287

kupendekeza namna bora ya malezi ya Vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa

kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa Vikundi vya Jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa Sera ya Maendeleo ya Jamii

kusimamia na kuhakiki maeneo ya Misitu, Mapori na Mbuga zilizotengwa kama Hifadhi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa

kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa

kubuni na kupendekeza namna ya kudhibiti Moto

kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa Nishati mbadala, kuzuia ukataji wa Miti ovyo na kuhimiza upandaji miti kwa wingi

kuhakikisha kwamba Ukaguzi wa Majengo unafanyika mara kwa mara

kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii

 

 

WAJUMBE WA KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

NA

JINA

KATA

CHAMA

1
MHE. PETER LEKANETI 
TINGATINGA - MWENYEKITI
CCM
2
MHE. SABORE K. MOLLOIMET
MWENYEKITI WA HALMASHAURI
CCM
3
MHE. DR STEPHEN KIRUSWA
MBUNGE
CCM
4
MHE. WITNESS ISACK
VITI MAALUM – TINGATINGA
CCM
5
MHE. HASSAN NGOMA
NAMANGA
CUF
6
MHE. JAMES K. KUKAN
MATALE
CCM
7
MHE. NAOMI E. MOLLEL
VITI MAALUM – LONGIDO
CHADEMA
8
MHE. SANO OLTUS
ILORIENITO
CCM
9
MHE. LODUPA S. LAITAYOK
KIMOKOUWA
CHADEMA
10
MHE. MOTIKA KASOSI
ORBOMBA
CCM

 

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.