• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. SIMON OITESOI LAIZER AIBUKA KIDEDEAMAKAMU MWENYEKITI WA HALMSHAURI YA WILAYA LONGIDO

Posted on: September 5th, 2019

Mhe. Simon Oitesoi Laizer ameshinda kwa kishindo kikubwa  kwa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Longido, Mhe. Simon Oitesoi ambaye ni Diwani wa kata ya Gelai Lumbwa, ameshinda kwa kura nyigi za ndio zilizopigwa na waheshimiwa madiwani katika kikao cha mwisho wa mwaka kilicho fanyika leo tarehe 05.09.2019 katika ukumbi wa mikutano wa J.K. Nyerere ndani ya Halmashauri ya wilaya Longido. Akizungumza na Baraza la madiwani pamoja na wakuu wa idara za Halmashauri ya wilaya Longido alishukuru  kwa nafasi walioweza kumpa ridhaa ya kuwa makamu mwenyekiti wa Halmashauri kwa mwaka 2019 2020 zaidi ya yote aliomba ushirikiano mkubwa kwa viongozi wenzake ili kuwez kuwatumikia wana nchi wa Longido waliotuamini katika nafasi hizi. Pia alimshukuru sana  Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Mhe. Sabore Molloimet pamoja na Makamu mwenyekiti aliemaliza muda wake Mhe. Esupat Ngulupa kwa maendeleo waliofanya kwa kipindi chote cha uongozi. Katika kikao hicho cha uchaguzi kilicho simamiwa na  Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya  wilaya wakili Jumaa Mhina  alisimamia uchaguzi wa kamati mbalimbali za kudumu za Halmashauri kamati hizo ni kamati ya Utawala fedha na mipango, Elimu afya na maji, kamati ya kuthibiti UKIMWI, Uchumi  ujenzi na maingira pamoja na kamati ya maadili ya madiwani. Uchaguzi huo uliosimamiwa na wakili Jumaa Mhina uliofuata kanuni na sheria za Nchi na hata za Halmashauri ya wilaya kamati zote teule zilipewa nafasi ya kukaa na kumchagua mwenyekiti wake. Ambapo baada ya kamati hizo kuwapata wenyeviti waliounda kwapamoja kamati ya fedha Mwenykiti wa Halmashauri  ya wilaya Mhe. Sabore Molloimet aliwashukuru viongozi wenzake kwa uwajibikaji na kupongeza Mhe. Simon Oitesoi kwa nafasi aliyo weza kupata kuwa makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Longido pia alisisitiza kwa waheshimiwa madiwani kuwa hakuna kamati iliyo bora kuliko nyingine kamati zote ni sawa na zote hufanya kazi ili kuendeleza wilaya yetu kwapamoja. Katibu tawala wa  wilaya ya Longido Toba Nguvila alisema kuwa uchaguzi huu uliofanyika ni wa haki na demokrasia pia alimpongeza mhe. Makamu mwenyekiti Simon Oitesoi kwa kuweza kushinda nafasi hiyo, alimshukuru pia aliyekuwa makamu Mwenyekiti Esupat Ngulupa kwa kuonyesha uwezo mkubwa wa kiuongozi kwa muda mrefu amesema kuwa katka jamii za kifugaji mwanamke kuongoza kwa nafasi kubwa kama alivyo kuwa Ngulupa inaonyesha ukuwaji mkubwa wa kidemokrasia hivyo alisema kuwa ana imani pia na makamu mwenyekiti wa sasa Mhe. Simon Oitesoi kwani ana msimamo na ni mchapa kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM