A. Miradi Inayoendelea kwa Fedha za Bakaa ya 2023/2024
Na
|
Idara
|
Jina la Mradi
|
Status ya Utekelezaji
|
1
|
Kilimo
|
Ujenzi wa choo – Soko la Gelai Meirugoi
|
Upo hatua ya umaliziaji – marekebisho ya ukuta na paa
|
8
|
Elimu Msingi
|
Ujenzi wa vyoo 16 – Shule ya Msingi Engikareti
|
Hatua ya umaliziaji – tiles, sehemu ya kunawia mikono, mlango
|
11
|
Afya
|
Ufuatiliaji wa miradi ya SRWSS
|
Kazi inaendelea
|
13
|
Elimu Msingi
|
Nyumba ya walimu – Jeodong Engasurai
|
Nyumba imekamilika, bado uchimbaji wa mashimo ya maji taka
|
17
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa bweni – Shule ya Sekondari Sinya
|
Kazi inaendelea – hatua ya upigaji rangi
|
19
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa bweni – Enduimet
|
Kazi inaendelea – hatua ya upigaji rangi
|
20
|
Elimu Msingi
|
Nyumba ya walimu – Imatiani
|
Kazi inaendelea – ufunikaji wa mashimo ya maji taka
|
21
|
Afya
|
Zahanati – Kijiji cha Sinonik
|
Kazi inaendelea – uwekaji wa mfumo wa umeme
|
22
|
Afya
|
Zahanati – Kijiji cha Magadini
|
Kazi inaendelea – uwekaji wa vifaa vya umeme na maji
|
23
|
Afya
|
Nyumba ya watumishi – Zahanati ya Esokonoi
|
Kazi inaendelea – upakaji rangi, uwekaji wa vigae, kufunika shimo
|
30
|
Elimu Sekondari
|
Shule ya Sekondari Longido Samia
|
Kazi inaendelea – fedha zimekwisha, makadirio ya umaliziaji yamewasilishwa OR-TAMISEMI
|
33
|
Elimu Msingi
|
Umaliziaji wa madarasa – Shule ya Laalaroi
|
Kazi inaendelea – hatua ya ukamilishaji
|
B. Miradi Inayoendelea kwa Fedha za Mapato ya Ndani (Own Source Dev. 20%)
Na
|
Idara
|
Jina la Mradi
|
Status ya Utekelezaji
|
2
|
Afya
|
Shughuli za lishe
|
Utekelezaji unaendelea – mikopo kwa awamu
|
5
|
Afya
|
Umaliziaji wa nyumba – Kituo cha Afya Eworendeke
|
Kazi inaendelea – uwekaji wa aluminium na tiles
|
6
|
Afya
|
Jengo la Mama na Mtoto – Zahanati ya Irkaswa
|
Kazi inaendelea – hatua ya ujazaji kifusi kwenye msingi
|
7
|
Elimu Msingi
|
Nyumba ya watumishi – Irkaswa
|
Kazi inaendelea – plasta ya magebo ya mbele na nyuma
|
8
|
Utawala
|
Ukamilishaji wa Ofisi – Kijiji cha Armanie
|
Kazi inaendelea – upigaji wa rangi
|
12
|
Utawala
|
Ukarabati – Ofisi ya kata E/Dapash
|
Mchakato wa utoaji wa fedha unaendelea
|
14
|
Elimu Msingi
|
Vyoo 10 – Shule ya Matale
|
Kazi inaendelea – hatua ya lenta, vifaa vipo eneo la mradi
|
16
|
Elimu Msingi
|
Madarasa 2 – Engarenaibor
|
Kazi inaendelea – hatua ya upauzi
|
17
|
Elimu Msingi
|
Madarasa 2 – Olmolog
|
Kazi inaendelea – uwekaji wa marumaru
|
18
|
Elimu Msingi
|
Madarasa 2 – Engikaret
|
Kazi inaendelea – hatua ya finishing: rangi na tiles
|
20
|
Elimu Sekondari
|
Ukamilishaji wa bwalo – Longido Samia
|
Kazi inaendelea – hatua za umaliziaji
|
Idadi ya miradi inayoendelea:
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.