Idara ya Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido imekuwa kiungo muhimu katika kusimamia rasilimali watu, kuweka mifumo ya utawala bora, na kuhakikisha watumishi wa umma wanatoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia maadili ya kazi, ufanisi, na uwajibikaji.
Majukumu Makuu ya Idara ya Utawala na Utumishi
Seksheni Zilizopo Kwenye Idara ya Utawala na Utumishi
Idara hii imegawanyika katika seksheni kuu nne (4), kila moja ikiwa na majukumu maalum:
1. Seksheni ya Utumishi wa Umma
2. Seksheni ya Mafunzo na Maendeleo ya Watumishi
3. Seksheni ya Utawala wa Ofisi
4. Seksheni ya Usalama, Itifaki na Mawasiliano ya Ndani
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.