UTANGULIZI
Idara ya Fedha ni miongoni mwa idara muhimu katika Halmashauri, inayoshughulika na usimamizi wa ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha. Idara hii pia hutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu matumizi bora ya rasilimali za kifedha kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za Serikali.
Idara ya Fedha imegawanyika katika sehemu tatu kuu, ambazo ni:
1. SEHEMU YA MATUMIZI
Majukumu ya sehemu hii ni:
2. SEHEMU YA MAPATO
Majukumu ya sehemu hii ni:
3. SEHEMU YA TAARIFA ZA KIMAHESABU (FINAL ACCOUNT)
Majukumu ya sehemu hii ni:
MALENGO YA IDARA YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025
Katika mwaka wa fedha 2024/2025, Idara ya Fedha ya Halmashauri inalenga kutekeleza malengo yafuatayo:
WATUMISHI WALIO CHINI YA IDARA YA FEDHA :
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.