HUDUMA ZA AFYA, USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE.
Halmashauri ya Wilaya ya Longido inatekeleza majukumu ya msingi ya kutoa huduma bora za afya kwa wakazi wake kupitia vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya vilivyopo wilayani. Huduma hizi zinalenga kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma za kinga, tiba, na uhamasishaji wa afya kwa wakati na kwa ubora unaostahili.
Vituo vya Afya Vilivyopo:
Hadi kufikia mwaka 2025, huduma za afya zinapatikana kupitia:
Aina za Huduma Zinazotolewa:
Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026:
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.