1. UTANGULIZI
Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido ni miongoni mwa vitengo muhimu vinavyosimamia na kuratibu shughuli zote zinazohusiana na utunzaji wa rasilimali za asili, mazingira na maendeleo ya utalii. Kitengo hiki kina jukumu la kuhakikisha matumizi endelevu ya rasilimali hizi kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.
Kitengo hiki kinaongozwa na Afisa Maliasili na kinahusisha seksheni nne (4) ambazo ni:
2. VIVUTIO VYA UTALII WILAYANI LONGIDO
2.1 Uwepo wa Spishi mbalimbali za Wanyamapori
Wilaya ya Longido imezungukwa na hifadhi mbalimbali kama:
Sehemu kubwa ya Wilaya ni mapito ya wanyamapori kutoka mashariki kwenda magharibi na kinyume chake, hali inayochochea utalii wa picha na uwindaji wa kitalii. Wanyamapori hupatikana hata karibu na makazi ya watu, hali inayorahisisha upatikanaji wa vivutio kwa gharama nafuu.
Kwa sasa, Wilaya ina jumla ya vitalu 7 vya uwindaji vinavyomilikiwa na wawekezaji waliopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii.
2.2 Mbuga ya Engasurai – Enduimet WMA
Eneo hili linalojulikana kama "Serengeti Ndogo" linapatikana ndani ya Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Enduimet. Watalii wanaweza kuona:
2.3 Spishi za Ndege
Longido imebarikiwa kuwa na aina nyingi za ndege wa kuvutia watalii wa ndani na nje ya nchi. Hili ni eneo linalofaa kwa bird watching na tafiti za kitaaluma.
2.4 Ziwa Natron
Ziwa hili ni kivutio maarufu duniani kutokana na sifa za kipekee:
2.5 Mlima wa Volkano wa Oldoinyo Lengai
Ni mlima pekee wenye volkano hai inayopoa na kutoa maajabu ya kijiolojia. Huvutia watalii wa kupanda mlima na wanasayansi.
2.6 Utalii wa Kitamaduni
Jamii ya Kimasai imehifadhi utamaduni wake kwa miaka mingi. Watalii hupata fursa ya:
3. SEKSHENI ZA KITENGO NA MAJUKUMU YAKE
3.1 Seksheni ya Uhifadhi wa Wanyamapori
Majukumu:
3.2 Seksheni ya Misitu
Majukumu:
3.3 Seksheni ya Mazingira
Majukumu:
3.4 Seksheni ya Ufugaji wa Nyuki
Majukumu:
5. MIKAKATI YA KITENGO KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026
Kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wa Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira katika mwaka wa fedha 2025/2026, kitengo kimejiwekea mikakati ifuatayo:
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.